KOCHA WA UINGEREZA ROY HODGSON AJIUZULU
Slider

Saa chache tu baada ya timu ya kandanda ya Uingereza kubanduliwa nje ya mashindano ya mwaka huu ya Euro 2016, Kocha wa Uingereza Roy Hodgson amejiuzulu wadhfa wake. Hodgson alikuwa ameshuhudiwa uingereza ikiambulia kichapo cha mabao 2-1 dhidi ya Iceland katika mkumbo wa 16 bora huko ufransa. Kocha huyo mwenye umri wamiak 68 amekiongoza kikosi hicho cha Uingereza kwa miaka 4 sasa. Hodgson alichukuwa wadhfa huo kutoka kwa kocha muitaliano Fabio Capello aliyetimuliwa kufuatia matokeo duni. Hata hivyo kocha huyo...

Like
225
0
Tuesday, 28 June 2016
RAIS WA ARGENTINA AMSIHI MESSI ASIJIUZULU
Slider

Rais wa Argentina Mauricio Macri amemwita nyota wa soka wa nchi hiyo Lionel Messi kwa lengo la kumuomba atengue maamuzi yake ya kujiuzulu kucheza soka la kimataifa. Messi alifikia maamuzi hayo baada ya timu yake kushindwa kwa mara ya pili mfululizo katika fainali za Copa America huku akiwa miongoni mwa wachezaji waliokosa mikwaju ya penalti. ”Amemwita na kumueleza namna anavyoona fahari kwa kiwango kizuri kilichoonyeshwa na timu yake katika michuano hiyo huku akimtaka asisikilize maneno ya watu” alisema msemaji wa...

Like
211
0
Tuesday, 28 June 2016
VARDY AKUBALI KUMWAGA WINO NA KUITUMIKIA TENA LEICESTER
Slider

Mshambuliaji wa Uingereza na Leicester Jamie Vardy amekubali kuweka kandarasi mpya na viongozi wa ligi ya Uingereza Leicester. Leicester imesema kuwa mchezaji huyo wa miaka 29 ambaye mabao yake yameisaidia klabu hiyo kushinda taji la ligi ya Uingereza msimu uliopita ameongeza kandarasi yake hadi miake minne na klabu hiyo. ”Pande zote mbili zinatumai tangazo hilo litamaliza uvumi wa hivi karibuni kuhusu hatma ya Jamie”,taarifa ya klabu imesema. Vardy alitarajiwa kununuliwa na klabu ya Arsenal kwa kitita cha pauni milioni 20...

Like
282
0
Thursday, 23 June 2016
CHINA KUWATEMBEZA RAIA WAKE KWENYE VISIWA VYENYE UTATA
Global News

Uchina inasema kuwa itaanza kuwatembeza kwa meli raia wanaotaka kuzuru visiwa vinavyozozaniwa vilivyoko kusini mwa bahari ya China. Vyombo vya habari vya serikali vinasema kuwa miaka minne ijayo, ziara hizo zitakuwa zikitoka kisiwa cha Hainan kabla ya kuelekea katika kisiwa chengine cha Nansha na kisha Spratley. Mapema juma hili, kampuni kubwa ya meli, Cosco, ilitangaza kuwa itaanzisha ziara za meli katika visiwa vingine vilivyoko katika eneo la kusini mwa bahari ya China, Paracels. Kutokana na shughuli kadhaa za kijeshi na...

Like
298
0
Wednesday, 22 June 2016
TANZANIA KUTENGENEZA HELIKOPTA
Local News

Gazeti la Daily News limeripoti kwamba ndege hiyo aina ya helikopta inakaribia kukamilika na kwamba habari hiyo imekuwa ikisambaa barani Afrika kwa kasi. Gazeti la Zambia, Observer linasema kuwa lengo la ndege hiyo itayokuwa ikibeba watu kwa bei rahisi itakabiliana na matatizo ya uchukuzi nchini humo. Huku gazeti la Cameron, Concord likisema kuwa mradi huo ni wa kihistoria linaongezea kuwa lengo lake ni kutengeza ndege 20 kwa mwaka. Ndege hiyo yenye uwezo wa kubeba watu wawili inakaribia kukamilika katika chuo...

Like
547
0
Wednesday, 22 June 2016
EURO: CROATIA YAICHAPA HISPANIA 2 – 1
Slider

Timu ya Croatia imeichapa Hispania jumla ya magoli 2 – 1 katika mchezo wa kusisimua wa kundi D wa michuano ya Kombe la mataifa ya Ulaya Euro inayochezwa huko Ufaransa. Hata hivyo timu zote Croatia na Hispania zimesonga mbele katika hatua ya 16 kutokana na kushika nafasi mbili za juu za kundi D. Katika mechi nyingine ya kundi D iliyochezwa sambamba na hiyo Uturuki imeadhibu Jamuhuri ya Czech kwa jumla ya magoli 2 – 0. Pamoja na ushindi huo timu...

Like
286
0
Wednesday, 22 June 2016
INTER MILAN YAFANYA MAWINDO KUMNASA YAYA TOURE
Slider

Inter Milan wana mipango ya kumsajili nyota wa Machester City Yaya Toure. Raia huyo wa Ivory Coast mwenye umri wa miaka 33, ana mwaka mmoja wa kuichezea Man City kabla ya kukamilisha mkataba wake. Yaya Toure aliuzwa kwa Man City ambayo ilikuwa chini ya meneja wa sasa wa Inter Milan Roberto Mancini kwa kima cha dola milioni 24 na Pep Guardiola mwaka 2010 kutoka klabu ya Barcelona. Hata hivyo taarifa zinasema kuwa huenda makubaliano yakaafikiwa au yakose...

Like
345
0
Monday, 20 June 2016
REDIO NA TV ZAFUNGA MATANGAZO DRC
Global News

Baadhi ya vituo vya redio na runinga katika mji mkuu Kinshasa, katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, zimefunga matangazo yake kuanzia leo, ikiwa ni ishara ya kuanza mgomo kufutia makampuni ya simu za mikononi kupandisha gharama za huduma za intaneti. Ni karibu majuma matatu sasa, tangu gharama ya huduma hiyo muhimu ilipoongezwa ghafla kwa asilimia mia moja. Na ili kushinikiza serikali na makampuni hayo kupunguza gharama za intaneti, raisi wa muungano wa wandishi wa habari nchini humo alitoa mwito kwa...

Like
268
0
Monday, 20 June 2016
YANGA YASHINDWA KUITAMBIA BEJAIYA
Slider

Wawakilishi wa Tanzania katika Kombe la Shirikisho la Soka Afrika, Yanga ya Jangwani usiku wa kuamkia leo walikumbana na kibano cha bao moja chungu kutoka kwa Bejaiya ya Algeria. Yanga watalazimika kuzikata kilomita 6120 kurejea nyumbani Tanzania kabla ya kujipanga kukutana na Kisiki kingine TP Mazembe ya...

Like
239
0
Monday, 20 June 2016
UFARANSA YAPASUA ANGA EURO
Slider

Mechi kali ilikuwa ya piga nikupige kati ya Switzland na wenyeji wa michuano hiyo Ufaransa lakini wakaishia kutoka uwanjani pasipo kutikisa nyavu yaani sare ya 0 – 0. Milingoti ya magoli ilipata kazi ya ziada kutokana na mikwaju mikali iliyogonga mwamba mara kadhaa. Pogba akiwakosakosa waswiss mara kadhaa hivi. Kwa sasa Kundi hilo linaongozwa na Ufaransa pointi 7, Switzland pointi 5, Albania 3, Romania...

Like
225
0
Monday, 20 June 2016
PICHA: SAKASAKA WILAYA YA ILALA
Local News

Shindano la Saka saka Wilaya ya Ilala limekamilika baada ya wakazi wa Ukonga Banana na maeneo ya jirani kujitokeza kwa wingi kwenye eneo la uwanja wa mamlaka ya anga na kushiriki zoezi la sakasaka Kulia ni Chogo akisoma karatasi inayothibitisha ushindi wa mmoja kati ya washiriki waliojishindia fed Washiriki wakiwa wanasaka kitu ambacho walitajiwa kwenye dondoo kupitia 93.7 E-fm Hulu aliamua kuja na mfuko wake akiamini nadir kitu...

Like
629
0
Monday, 20 June 2016
« Previous PageNext Page »