PICHA: NJE NDANI YA JOTO LA ASUBUHI NDANI YA KARIAKOO
Local News

Kipindi cha Joto la Asubuhi cha EFM redio kinacho tangazwa na Gerald Hando, PJ na Adela Tilya kinachorushwa live kila mwisho wa wiki katika maeneo mbalimbali, leo siku ya Ijumaa ya tarehe 17/06/2016 kimewafikia wakazi wa Kariakoo huku kikiambatana na burudani kabambe kutoka kwa wasanii wa Singeli kama, Sholo Mwamba na Majid Migoma. Mashabiki wa E-fm wakishuhudia Show ya Joto la Asubuhi Live Kariakoo Sokoni Hitachi Asili yeti Gerald Hando akipata kahawa wakati kipindi kinaendelea Asubuhi na mapema Majid Migoma...

Like
822
0
Friday, 17 June 2016
SLOVAKIA YAICHAKAZA URUSI 2-1 EURO
Slider

Wakicheza ndani ya Stade Pierre Mauroy Mjini Lille huko France, Slovakia wameitandika Urusi 2-1 katika Mechi ya Kundi B la EURO 2016 na hizi ni Mechi za Pili kwa kila Timu. Slovakia waliongoza 2-0 hadi Mapumziko kwa mabao ya Vladimir Weiss katika Dakika ya 32 alipotengenezewa na Kiungo wa Napolo Marek Hamsik na goli la Pili dakika ya 45. Russia, ambao wana kitanzi shingoni baada ya kuhukumiwa na UEFA adhabu iliyositishwa ya kutupwa nje ya EURO 2016, kutokana na fujo...

Like
289
0
Thursday, 16 June 2016
MWILI WA MTOTO ALIYENYAKULIWA NA MAMBA WAPATIKANA
Local News

Maafisa wa polisi waliokuwa wakiutafuta mwili wa mtoto wa miaka 2 aliyenyakuliwa na mamba katika bustani ya shirika la Walt Disney World mjini Florida wameupata mwili wake. Waogeleaji waliupata mwili huo ambao ulikuwa hauna majeraha yoyote na wanaamini ni ule wa mvulana huyo wa miaka miwili ambaye alinyakulwia na mamba na kuingizwa ndani ya maji siku ya Jumanne jioni mbele ya familia yake. Mkuu wa kaunty ya Orange Jerry Demings amesema kuwa jina la mvulana aliyetoweka na mamba huyo ni...

Like
273
0
Thursday, 16 June 2016
PICHA ILIYOGUSA HISIA ZA MAMILIONI YA WATU ULIMWENGUNI
Global News

Mtoto aliyezaliwa mwezi mmoja baada ya baba yake kufariki amegusa hisia za mamilioni ya watu ulimwenguni katika mitandao ya kijamii kupitia picha inayomuonyesha mtoto huyo akitabasamu akiwa amekumbatiwa na gloves za marehemu baba yake na pembeni yake amewekewa kofia ambavyo vyote vilikuwa vikitumiwa na baba wa mtoto huyo kujikinga wakati anaendesha pikipiki katika enzi za chai wake. Katika chapisho la Facebook lilitolewa na mpiga picha Kim Stone limeelezea jinsi ambavyo baba wa mtoto huyo alivokuwa na mapenzi makubwa ya kuendesha...

Like
328
0
Wednesday, 15 June 2016
PANYA KUTUMIWA KATIKA MAANDAMANO KENYA
Global News

Waandamanaji wanapanga kutumia panya 200 katika maandamano katika mji wa Nyeri mkoa wa kati nchini Kenya kulingana na gazeti la the Star nchini humo. Gazeti hilo limemnukuu mshirikishi wa maandamano hayo John Wamagata akisema ”tutaleta panya 200 na kuwatembeza katikati ya mji”. Gazeti hilo linaongezea kwamba maandamano hayo yanayopangwa kufanyika wiki ijayo yanapinga mapendekezo ya bunge la kaunti hiyo kutumia shilingi milioni 75 kujenga klabu ya kuimarisha afya. Klabu hiyo itakuwa na eneo la kunyosha misuli,eneo la kuoga kwa...

Like
942
0
Wednesday, 15 June 2016
OBAMA AMFUNGUKIA TRUMP
Global News

Rais wa Marekani, Barack Obama, ameshtumu vikali matamshi ya mgombea urais kwa tiketi ya chama cha Republican, Donald Trump, kwamba waislamu wasiruhusiwe kuingia Marekani. Obama amesema hiyo ‘si marekani wanayohitaji.’ ”Kuwabagua Waislamu wa Marekani kutasababisha nchi hiyo kukosa usalama,na kuongeza tofauti iliopo kati ya nchi za magharibi na zile za kislamu”, Obama alisema Siku ya Jumatatu bwana Trump, aliongezea kuhusu mpango wa kupiga marufuku nchi zote ambazo zina historia ya kutekeleza mashambulizi dhidi ya...

Like
199
0
Wednesday, 15 June 2016
WHO YATOA MASHAKA UENEAJI WA ZIKA
Global News

Kamati ya dharura ya shirika la afya duniani imetoa tathmini kuwa kuna uwezekano mdogo kidogo cha maambukizi ya virusi ZIKA kuenea katika mataifa mengine ,hivyo mashindano ya Olympic hayana haja ya kuhamishwa nchini Brazil.Ingawa tayari kulikuwa na wito wa michuano hiyo ya Rio kuahirishwa au kuhamisha mashindano hayo. Shirika la afya ulimwenguni WHO, kwa mara nyingine limetoa angalizo la awali kukataza watu kutosafiri au kufanya biashara katika maeneo ambayo kwa sasa yana virusi vyua ZIKA. Hata hivyo shirika hilo limewataka...

Like
201
0
Wednesday, 15 June 2016
DUNGA KIBARUA CHAOTA NYASI BRAZIL
Slider

Mchezaji wa zamani wa Timu ya taifa ya Brazil Carlos Dunga ametimuliwa kwenye nafasi ya Kocha wa Brazil kufuatia Nchi hiyo kutupwa nje ya Michuano ya Copa America na Peru. Shirikisho la Soka la Brazil, CBF, limetoa taarifa ya kumtimua Dunga ambaye pia alitarajiwa kuiongoza Nchi hiyo kwenye Michezo ya Olimpiki ambayo itachezwa nchini Brazil mwezi Agosti. Pamoja na Dunga, pia Wasaidizi wake wote wa Benchi la Ufundi wameondolewa, na CBF imesema itateua Watu wengine kuingoza Timu hiyo. Brazil ilifungwa...

Like
280
0
Wednesday, 15 June 2016
RONALD KOEMAN KUINOA EVERTON
Slider

Klabu ya Everton imethibitisha usajili wa kocha Ronald Koeman kuwa mkufunzi wake mpya kwa kandarasi ya miaka mitatu. Everton wamelipa dola milioni 5 kama fidia kwa mkufunzi huyo wa miaka 53 ambaye anaihama klabu ya Southampton baada ya kuisimamia kwa miaka miwili. Everton imekuwa bila mkufunzi tangu ilipomtimua Roberto Martinez kabla ya mwisho wa msimu uliopita. Koeman amesema kuwa Everton ni klabu yenye historia kubwa na ari ya kutaka kushinda huku mwenyekiti wa klabu hiyo akimwita raia huyo wa Uholanzi...

Like
202
0
Tuesday, 14 June 2016
MATASHI YA CHUKI: WABUNGE 7 WAKAMATWA KENYA
Global News

Wabunge sita nchini Kenya wanatarajiwa kuwasilishwa mahakamani kufuatia madai ya kutoa matamshi ya chuki. Siku ya Jumapili mbunge mmoja anayegemea upande wa serikali alidaiwa kutaka kuuawa kwa aliyekuwa waziri mkuu na kiongozi wa upinzani nchini humo Raila Odinga. Wabunge hao ni Moses Kuria, Kimani Ngunjiri na Ferdinand Waititu kutoka kwa upande wa serikali na Junet Mohammed Aisha Jumwa,Johnson Muthama na Timothy Bosire upande wa upinzani. Bw Kuria anadaiwa kuitisha kuuawa kwa Raila kupitia lugha ya kikikuyu.Hathivyo amekana kutoa matamshi...

Like
204
0
Tuesday, 14 June 2016
MUUAJI WA ORLANDO ALITEMBELEA KLABU YA WAPENZI WA JINSIA MOJA
Global News

Ripoti kutoka Orlando Marekani zasema Omar Mateen, mtu aliyewafyatulia risasi na kuwaua watu 49 katika klabu moja ya watu wanaoshiriki mapenzi ya jinsia moja, alikuwa akitembelea klabu hiyo iitwayo Pulse mara kwa mara. Wahudumu na meneja wa klabu hiyo amenukuliwa na magazeti ya Marekani akisema kuwa, ameshawahi kumuona Mateen, hata akinywa pombe katika eneo hilo. Naye mkewe wa zamani Sitora Yusufiy, amemwelezea Mateen kama mtu aliyekuwa na tabia za ugomvi wa mara kwa mara na kutaka kupigana na watu na...

Like
264
0
Tuesday, 14 June 2016
« Previous PageNext Page »