LIBERIA: GWIJI LA SOKA, GEORGE WEAH ATANGAZA KUWANIA URAIS KWA MARA YA PILI
Local News

GWIJI wa Soka la Kimataifa wa  Liberia George Weah ametangaza rasmi kuwa atawania nafasi ya urais wa nchi hiyo kwa mara ya pili. Weah, ambaye aliwahi kuchezea klabu za PSG, AC Milan, Chelsea,  na Monaco amebainisha kwamba amekuwa na malengo ya kuliletea Taifa hilo mabadiliko, tangu alipoanza kujihusisha na masuala ya kisiasa mara tu baada ya kurejea Liberia mwaka 2003. Rais wa Sasa Johnson Sirleaf anamaliza awamu yake ya pili na ya mwisho katika utawala wake mwaka  2017  ambapo kwa mujibu...

Like
212
0
Friday, 29 April 2016
TAMA YATAKA MITAALA YA UTOAJI WA MAFUNZO YA UKUNGA KUFANYIWA MAREKEBISHO
Local News

SERIKALI kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto imetakiwa kurekebisha mtaala wa kutoa mafunzo ya ukunga ili kuifanya taaluma hiyo iweze kuheshimika na kunusuru maisha ya watoto na akina mama wakati wa kujifungua. Wito huo umetolewa na Katibu mkuu wa Chama cha Wakunga Tanzania-TAMA-Dokta. Sebalda Leshabari alipokuwa akizungumza na Waandishi wa habari katika Semina maalumu iliyofanyika Jijini Dar es salaam ambapo amesema Wizara hiyo inatakiwa kuangalia namana ya kurekebisha mitaala ya utoaji wa mafunzo ya ukunga...

Like
216
0
Friday, 29 April 2016
URUSI NA MAREKANI ZATAKIWA KUIMARISHA USITISHAJI TETE WA MAPIGANO SYRIA
Global News

MJUMBE  wa  Umoja wa  Mataifa  nchini  Syria  Staffan de Mistura  amezitaka  Urusi  na  Marekani  kuimarisha usitishaji tete wa  mapigano  nchini  Syria  kabla  ya mazungumzo  ya  amani  yenye lengo  la  kumaliza  miaka 5 ya mzozo  nchini  humo.   Kauli hiyo ya  de Mistura  inakuja  muda  mfupi baada  ya kulifahamisha  baraza  la  Usalama  la  Umoja  wa  Mataifa juu  ya  mazungumzo  ya  amani, ambayo amesema yamepiga  hatua  licha  ya  vikwazo  vya  hivi ...

Like
239
0
Thursday, 28 April 2016
KINSHASA: MAMIA YA WATU WAKUSANYIKA KUUPOKEA MWILI WA PAPA WEMBA
Global News

MAMIA ya watu wamekusanyika nje ya uwanja wa ndege wa Kinshasa kuupokea mwili wa mwanamuziki Papa Wemba uliowasili nchini humo kutoka Abidjan. Mwanamuziki huyo ambaye ametajwa kuwa mmoja ya waanzilishi wa muziki wa kizazi kipya cha Soukous anatarajiwa kuzikwa siku ya Jumanne baada ya mwili huo kuwekwa katika uwanja wa mpira kwa raia kutoa heshima zao za mwisho. Maafisa wa serikali na wanadiplomasia watahudhuria ibada ya kumkumbuka mwanamuziki huyo katika uwanja wa ndege kabla ya mwili huo kupelekwa katika chumba cha...

Like
269
0
Thursday, 28 April 2016
MKUU WA WILAYA YA KINONDONI ATEMBELEA WANANCHI BUNJU
Local News

MKUU wa Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es salaam Mh. Ally Hapi leo amewatembelea wananchi maeneo ya Bunju na Mbweni waliokuwa na kero mbalimbali. Katika eneo la Bunju Kilungule, baadhi ya wananchi nyumba zao zimezungukwa na maji kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha.  Akijibu maombi ya wananchi hao, Mheshimiwa, Hapi amewaagiza mainjinia wa manispaa kuhakikisha kuwa wanafanya utaratibu wa kupata pampu kubwa ya kuvuta maji hayo, huku akiwataka wananchi kuwa wale wote waliojenga  katika eneo hatarishi ambalo ramani inaonesha kuwa ni eneo...

Like
291
0
Thursday, 28 April 2016
RAIS MAGUFULI ATENGUA UTEUZI WA MKURUGENZI MTENDAJI WA TIC
Local News

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dokta John Pombe Magufuli, ametengua uteuzi wa Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania-TIC, Bi Juliet Kairuki. Kwa mujibu wa Taarifa kwa vyombo vya Habari iliyotolewa leo na kusainiwa na Katibu Mkuu, Biashara na Uwekezaji, Profesa Adolf Mkenda, Uteuzi wa Bi Kairuki umetenguliwa kuanzia April 24 mwaka huu. Taarifa hiyo imeeleza kuwa, hatua hiyo imechukuliwa na Mheshimiwa Rais baada ya kupata taarifa kwamba Mkurugenzi huyo amekuwa hachukui mshahara wa Serikali tangu alipoajiriwa mwezi April...

Like
241
0
Thursday, 28 April 2016
MGOMO WA WAFANYAKAZI WAKWAMISHA SHUGHULI ZA KAWAIDA UJERUMANI
Global News

MGOMO wa  wafanyakazi  wa  sekta  ya  umma umevuruga shughuli  za  kawaida nchini  Ujerumani  hii leo. Wanachama  wa  chama  cha  wafanyakazi  wa  sekta  ya umma Verdi wamegoma  kufanya kazi  kutokana na madai  ya nyongeza ya mshahara.   Viwanja  vya  ndege  vya Frankfurt, Dusseldorf  na  Munich vimeathirika  na  mgomo  huo  ikiwa  ni  pamoja na  usafiri wa mjini katika miji  mbali  mbali,  lakini  uwanja  wa  ndege wa mjini  Berlin unafanyakazi  kama ...

Like
209
0
Wednesday, 27 April 2016
UBELGIJI YAMPELEKA UFARANSA MSHUKIWA WA PARIS
Global News

SALAH ABDESLAM , anayetuhumiwa  kuchukua  nafasi  ya juu  katika mashambulizi  ya  mjini  Paris ambayo yamesababisha  watu  130  kuuwawa, anafikishwa mahakamani  nchini  Ufaransa  leo, kwa mtazamo  wa kuwekwa  chini  ya  uchunguzi  rasmi.   Hatua  hiyo inakuja  baada  ya  Abdeslam  kupelekwa nchini  Ufaransa  kutoka  Ubelgiji  mapema  leo Jumatano. Mtuhumiwa  huyo  aliwasili  nchini  Ufaransa  mapema  leo...

Like
180
0
Wednesday, 27 April 2016
VODACOM YACHANGIA ASILIMIA 2% YA PATO LA TAIFA 2012/2015
Local News

IMEBAINISHWA kuwa kwa mwaka 2012/2015 kampuni ya  simu za mkononi ya Vodacom imechangia zaidi ya  shilingi bilioni 3  katika  pato la taifa ambayo ni sawa na asilimia 2 ya pato la Tanzania. Hayo yamebainishwa leo jijini Dar es Salaam katika   tathmini iliyofanywa na  KPMG juu ya mchango mpana wa kiuchumi na kijamii ikiwamo ukuzaji wa uchumi,ajira,na kupunguza umaskini,tathmini iliyofanyika kuhusu mtaji na shughuli za uwekezaji kwa kipindi cha mwaka wa fedha  wa  2012/...

Like
242
0
Wednesday, 27 April 2016
RAIS MAGUFULI AWAAPISHA MAAFISA TAWALA WAPYA 10 LEO
Local News

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dokta John Pombe Magufuli,  amewaapisha Maafisa Tawala wapya kumi aliowateua April 25, mwaka huu na kuwapangia vituo vyao vya kazi. Makatibu Tawala hao wapya, wameapishwa leo Ikulu jijini Dar es salaam na kuweka saini ya ahadi ya uadilifu kwa Viongozi wa Umma, Zoezi lililoendeshwa na kamishna wa maadili Sekretarieti ya maadili ya Viongozi wa Umma, Mheshimiwa Jaji Salome Kaganda mbele ya Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John...

Like
238
0
Wednesday, 27 April 2016
ALFRED LUCAS ATEULIWA KUWA AFISA HABARI MPYA TFF
Slider

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limemteua Alfred Lucas kuwa Afisa Habari na Mawasiliano mpya wa shirikisho kuanzaia leo Aprili 27, 2016. Alfred anachukua nafasi ya Baraka Kizuguto aliyehamishiwa katika Kurugenzi ya Mashindano kuwa Afisa Mashindano na Meneja wa Mifumo pepe ya Usajili (TMS). Alfred ana uzoefu kutoka vyombo mbalimbali alivyovitumikia kama mwandishi wa habari na mhariri.Kadhalika Alfred kitaaluma amesomea uandishi wa habari, uhusiano wa kimataifa na diplomasia pamoja na...

Like
274
0
Wednesday, 27 April 2016
« Previous PageNext Page »