Papa Francis awataka vijana duniani kuinua sauti zao
Global News

Kiongozi mkuu wa kanisa la Katoliki, Papa Francis, Jumapili aliwashauri vijana duniani kuendelea kutetea masuala wanayoyaamini, na kutokubali sauti zao kuzimwa. Akizungumza wakati wa ibada ya Jumapili ya matawi, Palm Sunday, iliyofanyika kwenye ukumbi wa St Peters Square mjini Vatican, Papa Francis aliwataka vijana kuendelea kupaza sauti zao hadi zitakaposikika. Kauli yake imejiri siku moja baada ya maandamano makubwa kufanyika ulimwenguni kote siku ya Jumamosi kuishinikiza Marekani kuunda sheria zinazodhibiti umiliki wa bunduki hatari. Hata...

Like
310
0
Sunday, 25 March 2018
Ajali ya gari yaua watu 24 Pwani
Local News

Imeelezwa kuwa watu 24 wamefariki dunia huku wengine 10 wakijeruhiwa vibaya baada ya Hiace iliyokuwa ikitokea Dar es Salaam kwenda Wilaya ya Mkuranga mkoani Pwani, kugongana uso kwa uso na lori lililokuwa likitokea Mtwara kuelekea Dar es Salaam. Taarifa hiyo imethibitishwa na Kaimu kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Kibiti, Mohamed Likwata ambapo amesema majeruhi wote wamepelekwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) jijini Dar es Salaam. Kamanda Likwata amesema ajali hiyo imetokea usiku wa kuamkia leo Jumapili Machi 25,...

Like
495
0
Sunday, 25 March 2018
MAJALIWA AIPIGANIA NAMUNGO FC YA JIMBONI KWAKE IPANDE LIGI KUU
Sports

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka wakazi wa wilaya ya Ruangwa washirikiane kuhakikisha ndoto ya timu yao ya mpira wa miguu ya Namungo FC ya kucheza ligi kuu inatimia. Amesema timu hiyo limeupa mkoawa Lindi na wilaya hiyo heshima kubwa imepanda imepanda daraja kutoka ligi daraja la pili kwenda daraja la kwanza katika msimu wa 2018/2019. Waziri Mkuu ameyasema leo (Jumamosi, Machi 24, 2018) wakati akizungumza na wakazi wa wilaya hiyo kwenye eneo la Namungo na kuwaomba waendelee kuisaidia timu hiyo...

Like
752
0
Sunday, 25 March 2018
WAZIRI MKUU AWATAKA VIJANA WAFANYE KAZI KWA BIDII NA MAARIFA
Local News

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka vijana wafanye kazi kwa bidii na maarifa kwa sababu kazi ndiyo msingi wa maendeleo yao na Taifa kwa ujumla.   Pia amewasihi wananchi wanaoishi katika maeneo ya mipakani wahakikishe suala la kulinda mipaka hiyo linapewa kipaumbele ili kuimarisha amani na utulivu nchini.   Waziri Mkuu ametoa kauli hiyo leo (Jumamosi, Machi 24, 2018) wakati akizungumza na wananchi alipowasili katika uwanja wa ndege wa Nachingwea.   Waziri Mkuu ambaye yuko wilayani Ruangwa kwa ziara ya kikazi...

Like
413
0
Sunday, 25 March 2018
MAGAZETINI LEO JUMAPILI MARCH, 25, 2018
Magazetini Leo

...

Like
406
0
Sunday, 25 March 2018
Korea Kusini na Kaskazini kufanya mkutano wiki ijayo
Global News

Korea Kusini na Korea Kaskazini ambazo zimekuwa mahasimu kwa muda mrefu, zimekubaliana kufanya mkutano wa ngazi ya juu wiki ijayo ili kufanya maandalizi ya mkutano wa Aprili kati ya Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong Un na Rais wa Korea Kusini Moon Jae-in. Korea Kusini imesema mkutano huo unalenga kuimarisha uhusiano na kusuluhisha mkwamo kuhusu mpango wa nyuklia wa Korea Kaskazini. Waziri wa Muungano Cho Myoung-gyon ataongoza ujumbe wa Korea kusini katika mkutano huo ambao umepangwa kufanyika tarehe 29 Machi...

Like
410
0
Saturday, 24 March 2018
China yaionya Marekani wakati mzozo wa kibiashara ukifukuta
Global News

China imeionya Marekani kuwa iko tayari na ina uwezo wa kulinda maslahi yake, wakati ambapo mgogoro wa kibiashara ukifukuta kati ya nchi hizo mbili. Shirika la habari la China-Xinhua, limeripoti kuwa Naibu Waziri Mkuu wa China Liu He amempigia simu Waziri wa Fedha wa Marekani, Steven Mnuchin na kufikisha ujumbe huo. Liu pia amesema uchunguzi wa miezi saba uliofanywa na Marekani kuhusu shughuli za kibiashara za China, unakiuka sheria za kimataifa za biashara. Mazungumzo hayo ya simu kati ya Liu...

Like
279
0
Saturday, 24 March 2018
Fatma Karume apata ridhaa ya Tundu Lissu
Local News

Uchaguzi wa Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS) wa nafasi ya urais unatarajiwa kufanyika April 14, 2018, na wakili wa kujitegemea Fatma Karume amesema Jumamosi ana baraka zote za Rais wa chama hicho Tundu Lissu. Tundu Lissu, ambaye ni mwanasheria na mbunge wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) muda wake wa uongozi utapomalizika. Vyanzo vya habari nchini Tanzania vimesema kuwa Lissu aliye kwenye matibabu nchini Ubelgiji, hatagombea tena baada ya kumaliza mwaka mmoja wa uongozi wake. Kutokana na shambulizi la...

Like
401
0
Saturday, 24 March 2018
Waziri Mwigulu awataka walimu kutosita kutumia fimbo mashuleni
Local News

Waziri wa Mambo ya ndani, Dkt. Mwigulu Nchemba amewataka walimu nchini kuendelea kutoa elimu bora kwa wanafunzi kwa kuwafundisha maadili mema na pale inapobidi matumizi ya fimbo yatumike wasisite kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya ndani, Dkt. Mwigulu Nchemba amewataka walimu nchini kuendelea kutoa elimu bora kwa wanafunzi kwa kuwafundisha maadili mema na pale inapobidi matumizi ya fimbo yatumike wasisite kufanya hivyo. Akizungumza katika harambee ya ujenzi wa mabweni ya Shule ya Sekondari Lulumba Wilaya ya Iramba mkoani Singida, Dkt....

Like
400
0
Saturday, 24 March 2018
Yasome hapa magazeti ya leo Jumamosi Machi 24, 2018
Magazetini Leo

...

Like
330
0
Saturday, 24 March 2018
Mama Anna Makinda awafunda madiwani uongozi wa kijinsia
Local News

SPIKA wa Bunge la Jamhuri wa Tanzania mstaafu, Mama Anna Makinda ametoa elimu wa uongozi wa Kijinsia kwa madiwani wanawake wa Mkoa wa Dar es Salaam katika warsha ya siku moja iliyoandaliwa na TGNP Mtandao ikiwa na lengo la kuwajengea uwezo madiwani hao. Akizungumza katika warsha hiyo, Bi. Makinda alisema suala la kuwajengea uwezo wanawake linapaswa kuanza mapema mara baada ya kumalizika kwa uchaguzi ili kupata muda zaidi wa viongozi hao kupata elimu stahiki, kwani mara nyingi elimu hiyo hucheleweshwa...

Like
419
0
Friday, 23 March 2018
« Previous PageNext Page »