Entertanment

MKANDA WA NGONO WA USHER RAYMOND WAUZWA KWA SIRI
Entertanment

Mkanda wa ngono wa msanii Ushermwa Raymond umeanza kuuzwa kwa siri na mtu asiefahamika kitendo ambacho kitamuweka katika wakati mgumu mtu huyo iwapo atagundulika ikiwemo kutumikia kifungo jela kwa kuiba na kuuza mkanda huo ambao ni mali ya Usher Raymond   Mwaka 2010 kuna mtu alivunja gari la Usher huko ATL nakuiba laptop mbili, video camera mbili na mali nyingine zilizokuwemo Baada ya miaka michache kupita sasa mkanda huo ulimshirikisha Usher na mkewe Tameka uliokuwa kwenye moja ya laptop umeanza...

Like
700
0
Wednesday, 12 November 2014
WANAOMUIGA VYBZ KARTEL WAANDAMWA MITAONI
Entertanment

Richa ya kuwa gerezani lakini Vybz Kartel bado Ameendelea kumake head lines kwenye tasnia ya dancehall, Jina la nyota huyo wa muziki wa dancehall limekuwa likitajwa siku hadi siku kufuatia watu mbalimbali na mastar ambao ni wadau wa dancehall kutengeneza muonekano kama wa Vybz kartel Gage amekuwa ni dj mpya kutengeneza muonekano wake kuwa kama wa vibz kartel hivi karibuni Gage ameandamwa vya kutosha na mashabiki kupitia mitandao ya kijamii mara baada kuanza kuapload picha zake akiwa na muonekano wa...

Like
626
0
Wednesday, 12 November 2014
KUMBE CHANZO CHA TALAKA KATI YA NAMELESS NA WAHU NI DNA!!!
Entertanment

David Mathenge a.k.a Nameless Ameonyesha kukerwa na blogs zilizochapisha habari kwamba yeye na mama watoto wake Wahu wakiwa familia yenye watoto 2 wanampango wa kutalakiana Bloger George Moseti alichapisha habari hiyo jumapili iliyodai kuwa vipimo vya DNa vilifanywa na kutoa majibu kuwa Nameless sio baba wa mototo huyo Kufuatia taarifa hiyo Nameless na mkewe Wahu walitumia mitandao ya kijamii kufikisha barua zao alianza nameless kupitia mtandao wa facebook na kukana taarifa ya taraka...

Like
662
0
Wednesday, 12 November 2014
KUMBE DESIRE LUZINDA NA CINDY NI KITU KIMOJA
Entertanment

Kupitia interview aliyofanya na bbc hivi karibuni Desire luzinda amedai kuwa anahofu saana kufuatia kuvuja kwa picha hizo kitendo kinachofanya ajifiche lakini pia yupo tayari kulikabili tatizo hilo. Ameongeza kuwa hata mama yake mzazi ameumizwa saana na tukio hilo “When my mother called me she was like honestly were you drunk, were you drugged, this is not you, I didn’t even have an answer, I felt her pain, I cried when she was talking to me,” Desire said. Lakini pia kumbe...

Like
388
0
Wednesday, 12 November 2014
ALICHOKISEMA TIFFANY BAADA YA MKANDA WAKE WA NGONO KUVUJA
Entertanment

  Msanii anaefanya vizuri Afrika mara baada ya kutambulika rasmi kwenye Ngoma ya Azonto rapa kutoka Ghana Tiffany hivi karibuni amekuwa na wakati mgumu mara baada ya picha za video za mkanda wake wa ngono kuanza kusambaa. Tiffany amedai kuwa mkanda huo ulirekodiwa miaka sita nyuma wakati akiwa kwenye mahusiano na Frank White baba wa mtoto wa Tiffany mwenye miaka mitano  Tiffany amedai kuwa aliachana na jamaa huyo kwa sababu alichoka kuwa punching Bag na hivyo aliamua kuachana nae, hata hivyo...

Like
673
0
Tuesday, 11 November 2014
ZARI THE BOSSLADY: SINA MAHUSIANO NA DIAMOND NI KAZI TU
Entertanment

Baada ya stori kusambaa kwenye mitandao ya kijamii kufuatia picha zinazowaonyesha wasanii wawili wakiwa pamoja katika mapozi tofauti mithili ya watu waliokwenye mahusiano yani diamond na Zari the bosslady wa Uganda  hatimae majibu yamepatikana. mwishoni mwa wiki iliyopita kwa watumiaji wa mtandao wa instagram haikuwa tena kitu kipya kwao kuona picha na tetesi za diamond na Zari mwanamuziki kutoka Uganda mwenye mafanikio kibiashara zikipostiwa kila mara kupitia mahojiano kati ya zari na mtandao wa big Eye ug zari ameeleza kuwa...

Like
710
0
Monday, 10 November 2014
ORODHA YA WASHINDI WA TUZO ZA MTV EMA 2014
Entertanment

  Best U.S. Act: Fifth Harmony Best Song: “Problem” – Ariana Grande (feat. Iggy Azalea) Best Pop: One Direction Best Female: Ariana Grande Best Male: Justin Bieber   Best Live: One Direction Best New: 5 Seconds of Summer Best Video: “Dark Horse” – Katy Perry (feat. Juicy J.)   Best Rock: Linkin Park Best Alternative: Thirty Seconds to Mars Best Hip-Hop: Nicki Minaj Best Electronic: Afrojack Biggest Fans: One Direction Best Look: Katy Perry Best Push: 5 Seconds of Summer Best Video With...

Like
233
0
Monday, 10 November 2014
MADONGO YA NICKI MINAJ KWA WALIOIKOSOA VIDEO YA ANACONDA
Entertanment

Moja kati ya matukio yaliyoongeleka saana mwaka huu kwenye tasnia ya burudani ni kuhusiana na video ya Anaconda ya Nicki Minaj. hivi karibuni kupitia interview ya V Magazine msanii huyu alivifungukia vyombo vya habari vilivyoitosa video hiyo kwa madai yakutokuwa na maadili, alisema kama mwanaume angefanya video ya aina ile basi isingekosolewa, lakini pia hao wanaokosoa wanatatizo na hawaheshimu tamaduni za hiphope ni hali hawafahamu lolote kuhusu muziki huo. Nick alisema kuwa mbona hawakosoi kipindi maarufu cha luninga Victori’s...

Like
916
0
Friday, 07 November 2014
SHAA KUSHEA JUKWAA NA WYCLEF JEAN
Entertanment

Msanii kutoka Tanzania Shaa kutoka aliyefanya Vizuri kwenye wimbo wa Sugua gaga wimbo uliomfanya afungue ukurasa mpya wa muziki wake kwakujizolea mashabiki zaidi kutoka uswahilini. Hivi karibuni msanii huyo amekuwa nchini Kenya kikazi ambapo pia amefanya kazi na msanii Red Sun kutoka Kenya na kushoot video ya wimbo ambao hadi sasa umeonyesha ramani nzuri kwake. Shaa ni miongoni mwa wasanii wachache watakaobahatika kushea jukwaa na msanii wa Kimataifa kutoka Marekani Wyclef Jean ambae mwishoni mwa wiki hii anatarajiwa kuwepo nchini...

Like
442
0
Thursday, 06 November 2014
NICK YOUNG AZUNGUMZIA NDOA YAKE NA IGGY AZALEA BAADA YA KUNUNUA MJENGO
Entertanment

Nicholas Aaron “Nick” Young Mcheza kikapu huko Marekani ambae amezaliwa june 1 mwaka  1985 kwa sasa mahusiano yake na rapa anaefanya vizuri duniani raia wa Austria Iggy Azalea yamepamaba moto. hivi karibuni wawili hao walitokea kwenye upiga picha katika maandalizi ya sherehe za kitaifa huko Marekani, kwa sasa wawlili hao wamenunua nyumba ya pamoja Kupitia interview aliyoifanya na DuJour Magazine . Nick alikiri ya kuwa hakuwa kuwa kwenye mahusiano ya furaha kama aliyokuwa nayo sasa na Iggy Azalea Nick aliongeza kwamba Iggy...

Like
224
0
Wednesday, 05 November 2014
PESA INAVYOHARIBU AKILI ZA WANAWAKE
Entertanment

Aliyekuwa mpeke wa Wizzy Khalipha Amber rose maarufu kama muva ametupia picha kwenye ukurasa wake wa instagram akionekana ameshikilia pesa kama anapiga simu na kuandika kuwa “tallking to my boyfriend on the phone #through love #the single life #masterbating is way too much fun and no you can’t have none” Muva anahatari ya kuwa mpweke katika mud a mrefu wa maisha yake  ...

Like
376
0
Wednesday, 05 November 2014