Local News

JAMII IMETAKIWA KUSHIRIKIANA NA SERIKALI KUTOA TAARIFA ZA WANAFUNZI WANAOPATA MIMBA SHULENI
Local News

JAMII imetakiwa kushirikiana na serikali kutoa taarifa za wanafunzi wanaopata ujauzito wakiwa shuleni. Wito huo umetolewa na Katibu mkuu Wizara ya Elimu Dokta SIFUNI MCHOME wakati akizungumza na EFM na kusema kuwa hali hiyo itasaidia kujua idadi ya wanafunzi ambao hawahudhurii masomo pamoja na kuwachukulia hatua wahusika wakuu waliosababisha tatizo. Amebainisha kuwa watoto wa kike wanatakiwa kupewa Elimu juu ya masuala ya Uzazi ili iweze kuwasaidia katika kujitambua pamoja na kuepuka kupata Mimba wakiwa Shuleni....

Like
262
0
Thursday, 06 November 2014
SERIKALI KUPAMBANA NA WAFANYABIASHARA WAKUBWA WA DAWA ZA KULEVYA
Local News

SERIKALI kupitia Tume ya kudhibiti dawa za kulevya inaandaa mikakati ya kupambana na wafanyabiashara wakubwa wa dawa  hizo ili kunusuru makundi ya vijana ambao ndio nguvu kazi ya taifa. Hayo yamebainishwa na Afisa Tawala Tume ya kudhibiti dawa za kulevya AIDA TESHA alipotembelea kituo cha kutibu waathirika wa dawa hizo cha PILI FOUNDATION kilichopo Kigamboni jijini Dar es salaam. TESHA ameeleza kuwa ili kudhibiti matumizi ya dawa hizo ni vyema kupambana na wafanyabiashara wakubwa badala ya kushughulika na wafanyabiashara...

Like
203
0
Thursday, 06 November 2014
WAFANYABIASHARA SOKO LA BUGURUNI WAIOMBA MANISPAA YA ILALA KUWAJENGEA MIUNDOMBINU
Local News

WAFANYABIASHARA wa Soko la Buguruni wameiomba Serikali kupitia manispaa ya Ilala kuwasaidia kuwajengea miundombinu ya soko hilo ili kuwasaidia kupunguza hasara ya uharibifu wa biashara zao. Wakizungumza na kituo hiki  leo katika soko hilo wafanyabiashara  hao wamesema kuwa wamekuwa wakikabiliana na changamoto mbalimbali za miundombinu hali inayosababisha kuharibika na kuoza kwa biashara zao hususani katika kipindi cha mvua. Kituo hiki kilizungumza na Mwenyekiti wa soko hilo Said Habibu ambaye amekiri kuwepo kwa changamoto hizo na kudai...

Like
328
0
Thursday, 06 November 2014
RAIS KIKWETE AFANYA UTEUZI WA MAKATIBU WAKUU NA MAKATIBU TAWALA WA MIKOA
Local News

  RAIS Jakaya Mrisho Kikwete amefanya uteuzi wa Makatibu Wakuu wa Wizara kwa kuteua Makatibu Wakuu wanne wapya na kuhamisha mmoja, uteuzi uliomuondoa Katibu Mkuu Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Charles Pallangyo ambaye sasa anakua Katibu Tawala wa Mkoa wa Geita. Rais Kikwete amefanya uteuzi na uhamisho wa Makatibu Tawala wa Mikoa. Taarifa iliyotolewa mjini Dodoma jana jioni na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue imesema kuwa Uteuzi huo ambao umeanza na Makatibu Wakuu na Makatibu Tawala wa...

Like
330
0
Thursday, 06 November 2014
56% WAFAULU ELIMU YA MSINGI
Local News

BARAZA la Mitihani la Tanzania limeidhinisha kutoa matokeo ya mtihani wa kumaliza Elimu ya msingi uliuofanyika September 10 hadi 11mwaka huu. Akizungumza na Waandishi wa Habari jijini Dar es salaam Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani Dokta CHARLES MSONDE ameeleza kuwa jumla ya watahiniwa laki nane mia nane na themanini na tano, wa shule za msingi walisajiliwa kufanya mtihani huo wakiwemo wasichana Laki nne ishirini na tisa elfu mia sita na ishirini na nne sawa na asilimia 53.17 na wavulana...

Like
304
0
Thursday, 06 November 2014
UKAGUZI WA MAGARI WAANZA RASMI DAR
Local News

  JESHI la Polisi kupitia kikosi cha Usalama Barabarani jijini Dar es salaam leo limeanza rasmi zoezi la ukaguzi wa magari ikiwa ni pamoja na kufanya makabidhiano ya Stika kutoka kampuni ya Vodacom na Puma ili kupunguza ajali za barabarani. Akizungumza na Waandishi wa Habari jijini Dar es salaam Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani MOHAMED MPINGA amesema kuwa Stika hizo ambazo ni za magari makubwa, madogo na pikipiki zitasaidia kupunguza ajali baada ya vyombo hivyo kukaguliwa kabla ya kuingia...

Like
342
0
Wednesday, 05 November 2014
BARAZA LA MITIHANI LIMEIDHINISHA KUTOA MATOKEO YA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI
Local News

BARAZA la Mitihani la Tanzania limeidhinisha kutoa matokeo ya mtihani wa kumaliza Elimu ya msingi uliuofanyika September 10 hadi 11mwaka huu. Akizungumza na waandishi wa Habari leo jijini Dar es salaam Katibu mtendaji wa Baraza la mitihani Dokta CHARLES MSONDE ameeleza kuwa jumla ya watahiniwa 808,085 wa shule za msingi walisajiliwa kufanya mtihani huo wakiwemo wasichana 429,624 sawa na asilimia 53.17 na wavulana 378,461 sawa na asilimia 46.83. Dokta MSONGE amethibitisha kuwa jumla ya watahiniwa 451,392 kati ya watahiniwa 792,118...

Like
315
0
Wednesday, 05 November 2014
MORO KUJENGA VYOO KUSHEREHEKEA SIKU YA USAFI WA MAZINGIRA DUNIANI
Local News

KATIKA kuelekea kusherehekea siku ya Usafi wa Mazingira Duniani wakazi wa Manispaa ya Morogoro wametakiwa kujenga vyoo bora ili kujikinga na magonjwa mbalimbali yatokanayo na uchafu Hayo yamebainishwa na Afisa wa Manispaa ya Morogoro GABRIEL MALISA wakati akizungumza na Efm mjini Morogoro. MALISA amebainisha kuwa katika kuelekea kusherehekea siku ya Usafi wa Mazingira duniani ni wajibu wa kila mwanachama hususani mkazi wa Morogoro na vitongoji vyake kuhakikisha suala la usafi linakuwa ni endelevu sanjari na kuhakikisha kila mwananchi anajenga...

Like
353
0
Wednesday, 05 November 2014
WAFUGAJI WATAKIWA KUACHA KUVAMIA MAENEO YA HIFADHI
Local News

WAFUGAJI wa Jamii ya kimasai wametakiwa kufuata taratibu za kupata ardhi kihalali ,badala ya kuendelea kuvamia maeneo ya hifadhi yaliyopo kisheria. Kauli hiyo imetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Tanga Luteni Mstaafu CHIKU GALAWA ambapo ameeleza uvamizi huo umekuwa kero pindi wanapotakiwa kuondoka kwenye maeneo hayo. Amebainisha kuwa kwa kufuata taratibu itasaidia kuepusha migogoro isiyokuwa na tija ambayo imekuwa ikirudisha nyuma...

Like
227
0
Wednesday, 05 November 2014
WANANCHI WATAKIWA KUSHIRIKI CHAGUZI ZA SERIKALI ZA MITAA
Local News

RAIS  JAKAYA MRISHO KIKWETE amewataka wananchi kushiriki kikamilifu katika uchaguzi mkuu wa serikali za mitaa sanjari na kuhakikisha kuwa wanaisoma ipasavyo katiba inayopendekezwa ili kuelewa masuala muhimu yaliyopo kwenye katiba hiyo.   Rais KIKWETE ametoa wito huo mkoani Dodoma wakati akizungumza katika na Wazee mkoani humo ambapo amesema kuwa suala la wananchi kushiriki kikamilifu uchaguzi huo litasaidia katika kupata viongozi bora wenye kujali maslahi ya wananchi.   Mbali na hilo Rais Kikwete amewataka wananchi kuchukua...

Like
221
0
Wednesday, 05 November 2014
DAVID KAFULILA AOMBA UFAFANUZI JUU YA SWALA LA ESCROW BUNGENI LEO
Local News

  MKUTANO wa 16 na 17 wa kikao cha kwanza cha Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania umeanza leo mjini Dodoma ambapo kumekuwa na kipindi cha maswali na majibu mara baada ya kusomwa kwa mara ya pili Miswaada ya Sheria ya Serikali pamoja na Mswaada Binafsi wa bajeti wa mwaka 2014.   Katika majadiliano hayo yaliyoambatana na kipindi cha maswali na majibu ya masuala mbalimbali ya maendeleo ndipo muda ulipofika kwa baadhi ya wabunge kuomba miongozo ya masuala muhimu...

Like
449
0
Tuesday, 04 November 2014