Local News

PICHA: SAKASAKA WILAYA YA ILALA
Local News

Shindano la Saka saka Wilaya ya Ilala limekamilika baada ya wakazi wa Ukonga Banana na maeneo ya jirani kujitokeza kwa wingi kwenye eneo la uwanja wa mamlaka ya anga na kushiriki zoezi la sakasaka Kulia ni Chogo akisoma karatasi inayothibitisha ushindi wa mmoja kati ya washiriki waliojishindia fed Washiriki wakiwa wanasaka kitu ambacho walitajiwa kwenye dondoo kupitia 93.7 E-fm Hulu aliamua kuja na mfuko wake akiamini nadir kitu...

Like
628
0
Monday, 20 June 2016
PICHA: NJE NDANI YA JOTO LA ASUBUHI NDANI YA KARIAKOO
Local News

Kipindi cha Joto la Asubuhi cha EFM redio kinacho tangazwa na Gerald Hando, PJ na Adela Tilya kinachorushwa live kila mwisho wa wiki katika maeneo mbalimbali, leo siku ya Ijumaa ya tarehe 17/06/2016 kimewafikia wakazi wa Kariakoo huku kikiambatana na burudani kabambe kutoka kwa wasanii wa Singeli kama, Sholo Mwamba na Majid Migoma. Mashabiki wa E-fm wakishuhudia Show ya Joto la Asubuhi Live Kariakoo Sokoni Hitachi Asili yeti Gerald Hando akipata kahawa wakati kipindi kinaendelea Asubuhi na mapema Majid Migoma...

Like
821
0
Friday, 17 June 2016
MWILI WA MTOTO ALIYENYAKULIWA NA MAMBA WAPATIKANA
Local News

Maafisa wa polisi waliokuwa wakiutafuta mwili wa mtoto wa miaka 2 aliyenyakuliwa na mamba katika bustani ya shirika la Walt Disney World mjini Florida wameupata mwili wake. Waogeleaji waliupata mwili huo ambao ulikuwa hauna majeraha yoyote na wanaamini ni ule wa mvulana huyo wa miaka miwili ambaye alinyakulwia na mamba na kuingizwa ndani ya maji siku ya Jumanne jioni mbele ya familia yake. Mkuu wa kaunty ya Orange Jerry Demings amesema kuwa jina la mvulana aliyetoweka na mamba huyo ni...

Like
272
0
Thursday, 16 June 2016
RAIS MAGUFULI AWAAPISHA WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI NA WAZIRI WA KILIMO MIFUGO NA UVUVI
Local News

Rais Dkt. John Pombe Magufuli amewaapisha mawaziri wapya wa mambo ya ndani na yule wa kilimo siku mbili tu baada ya kutangaza mabadiliko madogo katika baraza lake la mawaziri. Jumamosi iliyopita rais Magufuli alitangaza uteuzi wa mbunge wa Buchosha Dkt. Charles John Tizeba kuwa waziri wa kilimo, mifugo na uvuvi. Kufuatia uteuzi huo, aliyekuwa Waziri wa Kilimo, bwana Mwigulu Lameck Nchemba aliteuliwa kuwa Waziri wa mambo ya ndani ya nchi. PICHA: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John...

Like
402
0
Monday, 13 June 2016
WANANCHI WAJIPATIA PESA TASLIMU KWENYE MCHEZO WA SAKASAKA YA EFM REDIO
Local News

Mchezo wa SAKASAKA unaoendeshwa na kituo cha EFM redio umeanza rasmi siku ya jumapili ya tarehe 12/06/2016 pale viwanja vya Mcanada, Tegeta ukiwahusisha wakazi wa wilaya ya Kinondoni. Kiasi cha shilingi milioni 3 taslimu zimetolewa kwa washindi 12 ambapo mshindi wa kwanza aliondoka na milioni mbili, wapili na watatu laki mbili, mshindi wanne hadi wasita laki moja na washindi sita wa mwisho kupata elfu hamsini kila mmoja.   Baadhi ya picha za washiliki wakisaka kitu kilichofichwa Umati wa watu waliohudhuria...

Like
937
0
Monday, 13 June 2016
PICHA: SHOW YA JOTO LA ASUBUHI BUGURUNI
Local News

Wakazi wa Buguruni leo wameshuhudia jinsi watangazaji wa kipindi cha Joto la Asubuhi ambao ni Pj, Gerald Hando na adella Tillya wakitangza Live katika eneo la Buguruni Mataa Paul James (PJ) Gerald Hando Adella Tillya...

Like
1552
0
Friday, 10 June 2016
WASICHANA 500 WA TANZANIA WANATUMIKA ASIA
Local News

Serikali imesema zaidi ya wasichana 500 wanatumikishwa katika kazi hatari zikiwemo za ukahaba katika nchi za Asia na Uarabuni. Taarifa ya wizara ya mambo ya nje imesema imepata taarifa kuwa kuna mtandao unaowasafirisha wasichana katika nchi hizo kwa madai ya kufanya kazi za ndani lakini baadae hutumikishwa kwenye biashara ya ngono. Taarifa zinasema baadhi ya wasichana hao wemekimbilia kwenye ubalozi wa Tanzania ili kuomba kurudishwa nyumbani Mindi Kasiga ni Msemaji wa Wizara ya mambo ya nje ambaye anasema ” Mtandao...

Like
275
0
Friday, 10 June 2016
SAKASAKA 2016 INAKUPA NAFASI YA KUTWAA MILIONI TATU
Local News

Baada ya kukabidhi magari mawili na pikipiki kumi kwa wasikilizaji wake kupitia shindano la shikandinga , EFM redio inakuja na donge nono kupitia mchezo wa sakasaka ambao huchezeshwa kila mwaka toka kituo kianzishwe. Saka saka ni shindano ambalo efm redio huficha kitu katika eneo fulani ambapo  msikilizaji hupewa maelekezo yake hivyo atatakiwa kwenda katika eneo hilo na kukitafuta hicho kitu kulingana na shindano. Mwaka huu mchezo wa sakasaka utaanza tarehe 12/06/2016, utachezeshwa katika wilaya tano (5) ambazo ni Kinondoni, Ilala,...

Like
347
0
Thursday, 09 June 2016
TISHIO LA BOMU LAILAZIMU NDEGE YA EGYPT KUTUA GHAFLA
Local News

NDEGE ya shirika la EgyptAir ambayo ililazimika kutua nchini Uzbekistan kutokana na udanganyifu wa kuwepo kwa bomu, imeruhusiwa kuendelea na safari yake kutoka Cairo kwenda Beijing.   Abiria wote 118 na wafanyikazi 17 waliokuwa ndani ya ndege hiyo, waliondolewa katika uwanja wa kimataifa wa Urgench.   Wiki tatu zilizopita ndege ya EgyptAir iliyokuwa ikitoka mjini Paris kwenda Cairo ikiwa na abiria 66 ilianguka katika bahari ya...

Like
225
0
Wednesday, 08 June 2016
WAMILIKI WA MAGARI WAMETAKIWA KUYAKATIA BIMA MAGARI YAO
Local News

WAMILIKI na Madereva wa Magari nchini wametakiwa kuhakikisha kuwa magari yote yanayotembea barabarani yamekatiwa bima iliyotolewa na kampuni iliyosajiliwa na mamlaka ya bima  kufuatia badala ya kutumia bima feki. Akizungumza na E fm jijini Dar es salaam leo , Mkurugenzi wa Sheria wa Mamlaka ya Udhibiti wa Bima Tanzania- TIRA, Paul Ngwembe amesema kuwa sheria ya bima ya mwaka 2009 inayosimamia masuala ya bima inataka kila gari linalotembea barabarani liwe na bima lakini kumekuwepo na baadhi ya wamiliki au madereva...

Like
281
0
Wednesday, 08 June 2016
ZITTO AHOJIWA NA POLISI
Local News

JESHI la polisi kanda maalumu ya dar es salaamu limemuita na kumuhoji mbunge wa kigoma mjini ZITTO KABWE kwa ajili ya kupata ufafanuzi juu ya maudhui ya hotuba aliyo itoa jumapili iliopita katika viwanja vya Zakhiemu Mbagala . Mheshimiwa KABWE alifika katika ofisi ya polisi kanda maalumu ya Dar es salaamu majira ya saa tatu na dakika thelathini na mbili asubuhi ambapo alihojiwa kwa masaa mawili na baada ya hapo mheshimiwa KABWE alizungumza na waandishi wa habari ambapo alionesha kusikitishwa...

Like
225
0
Wednesday, 08 June 2016