Local News

13,491 WAGUNDULIKA KUWA NA KIPINDUPINDU
Local News

JUMLA ya Watu elfu 13,491 wamegundulika kuwa na ugonjwa wa Kipindupindu tokea kuanza kwa ugonjwa huo Agosti 15 Mwaka jana na kuwa kati yao jumla ya watu 205 wameshafariki kwa ugonjwa huo.   Kwa mujibu wa Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mheshimiwa Ahmis Kigwangala, wiki iliyoaanza tarehe 4 hadi leo 11 Januari,  kumekuwa na jumla ya Wagonjwa 615 walioripotiwa nchini na vifo 3 hali inayoonyesha kuwa hali ya kipindupindu nchini bado sio nzuri....

Like
207
0
Monday, 11 January 2016
RAIS MAGUFULI AMTEMBELEA SUMAYE HOSPITALI
Local News

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dokta. John Pombe Magufuli, amemtembelea na kumpa pole Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Frederick Sumaye leo, ambaye amelazwa katika Taasisi ya Jakaya Kikwete iliyopo katika Hospitali ya Taifa Muhimbili Jijini Dar es Salaam.   Mheshimiwa Frederick Sumaye alilazwa katika Taasisi hiyo siku nne zilizopita kwa matibabu ya moyo na madaktari wanaomtibu wamemhakikishia Rais Magufuli kuwa anaendelea vizuri ikilinganishwa na wakati alipofikishwa katika Taasisi hiyo.  ...

Like
333
0
Monday, 11 January 2016
SYRIA: UN YATOA MSAADA MADAYA
Global News

UMOJA wa mataifa umesema kuwa misafara ya magari iliyobeba chakula cha mwezi mzima na dawa leo umeanza kuelekea nchini Syria katika mji wa Madaya eneo ambalo limeathiriwa na njaa ambapo baadhi yao wamekufa kutoka na hali hiyo.   Watu zaidi ya elfu 40 wamezuiwa na serikali kutoka katika maeneo hayo na hawajahi kupokea msaada wa chakula tangu mwezi Oktoba mwaka jana.   UN wanasema kuwa wanaushahidi kwamba baadhi wamekufa kwa njaa katika mji huo wa Madaya nchini Syria kutokana na...

Like
184
0
Monday, 11 January 2016
MAKONDA AWEKA MAWE YA MSINGI YA UJENZI WA SHULE 2 ZA SEKONDARI KINONDONI
Local News

KATIKA kupunguza tatizo la watoto wengi wanaomaliza darasa la saba kushindwa kuendelea na elimu ya Sekondari kutokana na uhaba wa Madarasa wilayani Kinondoni , Mkuu wa Wilaya hiyo,  Paul Makonda leo ameweka mawe ya msingi ya ujenzi wa shule za Sekondari Mbezi Juu na shule ya Sekondari Mzimuni zinazojengwa katika manispaa ya Kinondoni.   Akizungumza na Waandishi wa habari pamoja na wananchi wakati akiweka mawe hayo ya msingi Makonda amesema hii ni sehemu yamkakati wa Manispaa hiyo kujenga shule za...

Like
630
0
Monday, 11 January 2016
SERIKALI KUWALINDA WANANCHI DHIDI YA MATUMIZI YA CHAKULA KISICHO SALAMA
Local News

SERIKALI imesema imejidhatiti kuwalinda wananchi kwa kuzuia athari za kiafya zinazoweza kujitokeza kutokana na matumizi ya chakula kisicho salama kote nchini.   Meneja Mawasiliano na Uhusiano wa Umma wa mamlaka ya chakula na Dawa (TFDA)  Gaudensia Simwanza ameyasema hayo  na kufafanua kuwa uchafuzi wa chakula hufanya chakula kisiwe salama na hivyo kusababisha madhara ya kiafya ya muda mfupi na muda mrefu na hata vifo kwa mlaji pamoja na athari za...

Like
283
0
Monday, 11 January 2016
BALOZI WA UINGEREZA AAHIDI KUISAIDIA WILAYA YA KINONDONI KUTATUA KERO MBALIMBALI
Local News

BALOZI wa Uingereza nchini ameahidi kuisaidia Halmashauri ya kinondoni katika kutatua kero ikiwemo kero ya mafuriko pamoja na kuboresha sekta mbalimbali ikiwemo sekta ya elimu ,sekta ya afya  na michezo. Hayo yamebainishwa jijini Dar es alaamu na mkuu wa wilaya ya kinondoni  PAUL MAKONDA mara baada ya kumaliza  mazungumzo na balozi huyo,  DIANA MELYROSE  ambapo amesema kutokana na  kuwepo na changamoto mbalimbali katika manispaa ya kinondoni manispaa hiyo imekuwa na mazungumzo na baadhi ya wadau wa halmashauri ya kinondoni wakiwemo...

Like
208
0
Friday, 08 January 2016
RAIS MAGUFULI AMPONGEZA SAMATTA
Local News

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amemtumia salam za pongezi Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na  Michezo Mheshimiwa Nape Nnauye kufuatia mchezaji wa Timu ya Taifa ya mpira wa miguu  Mbwana Ally Samatta kutwaa tuzo ya Mchezaji Bora wa Afrika kwa wachezaji wanaocheza Barani Afrika; iliyotolewa katika mji wa Abuja nchini Nigeria jana usiku.   Mhe. Rais Magufuli amemtaka Waziri Nape Nnauye amfikishie salam zake za pongezi kwa mchezaji huyo ambaye pia ni mchezaji wa...

Like
180
0
Friday, 08 January 2016
KAMPUNI YA QUALITY MEDIA GROUP YANUNUA GAZETI LA JAMBO LEO
Local News

Kampuni Ya Quality Media Group Yanunua Gazeti La Jambo Leo Kampuni ya Jambo Concepts Tanzania ambao ni wachapishaji wa Gazeti la kila siku la Jambo Leo imenunuliwa na Kampuni ya Quality Media Group ambayo ni kampuni tanzu ya Quality Group Limited,ununuzi umeanza December 31 na unategemea kukamilika February 01. Kampuni ya Quality Media imedhamiria kuwekeza katika tasnia ya habari kwa kuongeza ufanisi katika utendaji wa gazeti la Jambo Leo na kuahidi kufikia mwisho wa robo ya kwanza ya mwaka 2016...

Like
423
0
Friday, 08 January 2016
ITAMBOLEO: WANANCHI WAMKALIA KOONI MTENDAJI WA KIJIJI KUFUATIA UBADHILIFU WA FEDHA
Local News

WANANCHI wa Kijiji cha Itamboleo Kata ya Chimala Wilaya ya Mbarali Mkoani Mbeya wamemtaka Mkugunzi wa Halmashauri ya Wilaya hiyo,  kumchukulia hatua za nidhamu Mtendaji wa Kijiji Julius Mwagala kwa ubadhilifu wa fedha za kijiji.   Mwenyekiti wa Kijiji cha Itamboleo SAMWEL KAGANGA amesema kuwa Mwagala amekula shilingi laki 9 zilizochangwa na wananchi mwaka 2015 kwa ajili ya maendeleo ya Kijiji.   Hata hivyo inaelezwa kuwa, mtendaji huyo hajafika kazini tangu mwezi March mwaka jana  ambapo kazi zake zimekuwa zikifanywa...

Like
316
0
Friday, 08 January 2016
WAKAZI DAR KUNUFAIKA HUDUMA YA MAJI SAFI NA SALAMA
Local News

KATIKA  kuhakikisha agizo la serikali  la kufikisha huduma ya maji safi kwa wakazi zaidi ya milioni nne  wa mkoa wa Dar es alaamu na  mikoa ya jirani,  mamlaka ya maji safi na maji taka  mkoa wa Dar es alaamu- DAWASCO,  limeanzisha zoezi maalumu kwa ajili ya kuwaunganisha wakazi hao na  huduma hiyo.   Afisa uhusiano wa Dawasco  EVERLASTINGI  LYARO,  amesema kuwa zoezi hilo limeanza rasmi tangu januari mosi mwaka huu na limegawanyika katika awamu kuu nee.   LYARO amebainisha kuwa...

Like
248
0
Friday, 08 January 2016
WAZIRI SIMBACHAWENE AAGIZA KUSIMAMISHWA KAZI KWA KAIMU AFISA BIASHARA WA MANISPAA YA ILALA
Local News

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI Mheshimiwa, George Simbachawene amemuagiza Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala kumsimamisha kazi mara moja Kaimu Afisa Biashara wa Manispaa ya Ilala  Dennis Mrema kuanzia leo tarehe 07 Januari, 2016 kwa kosa la kusababisha upotevu wa Mapato ya Serikali kutokana na urasimu wa kukusudia, mazingira ya rushwa na uzembe katika utoaji wa leseni za Biashara.   Kutokana na hali hiyo Waziri ameelekeza Mkurugenzi huyo wa Ilala kumuondoa kwenye nafasi yake Kaimu Afisa Biashara wa Manispaa...

Like
366
0
Thursday, 07 January 2016