Global News

Watu watano wauawa kwa shambulio la risasi Maryland Marekani
Global News

Polisi katika jimbo la Maryland nchini Marekani wanasema watu watano wameuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa katika shambulio la risasi lililofanyika katika ofisi za kampuni ya Capital Gazette inayomiliki magazeti ya kila siku katika mji wa Annapolis. Wafanyakazi wa gazeti hilo wanasema mshambuliaji huyo ambaye ni mzungu anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 30 ambaye alijiharibu vidole vyake ili kuepusha kutambulika kwa alama za vidole alifyatua risasi hovyo kupitia mlango wa vioo. Tiyari amekamatwa na polisi. William Krampf ambaye ni Msaidizi...

Like
367
0
Friday, 29 June 2018
Baba Mzazi wa Michael Jackson Amefariki
Global News

Joe Jackson, Baba wa Michael Jackson amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 89. Joe ambaye ni baba wa watoto 11 aliwahi pia kuwa Msimamizi wa kundi la muziki la The Jackson 5 amefariki akiwa anapatiwa matibabu huko Las Vegas nchini Marekani akiwa anasumbuliwa na maradhi ya Saratani. Mtoto wake wa nne, Jermaine, aliiambia Daily Mail kuwa kabla ya kifo baba yake amejaribu kuzuia familia yake isimtembelee huku akizuia habari kuhusu maendeleo ya afya pamoja na eneo alilopo. Waliruhusiwa kumwona...

1
492
0
Thursday, 28 June 2018
Rwanda Yaanza Kutengeneza Magari ya Volkswagen
Global News

RAIS Paul Kagame amezindua kiwanda kipya cha Kampuni maarufu ya Magari ya Volkswagen nchini Rwanda, leo Juni 27, 2018ambapo uzalishaji wa magari hayo umeanza rasmi nchini humo. Kampuni hiyo maarufu ya kutengeneza magari yenye makao yake makuu nchini Ujerumani, imeamua kuwekeza nchini Rwanda ili kuwarahishia wateja wake upatikanaji wa bidhaa hiyo, kukuza soko lao Afrika Mashariki, Kati na Afrika nzima. Akizungumza wakati wa uzinduzi huo ulioendana na kuzindua gari la kwanza lililotengenezwa na kiwanda hicho cha Volkswagen nchini Rwanda, Kagame...

Like
570
0
Wednesday, 27 June 2018
Padri mwimba Rap asimamishwa kazi
Global News

Padri wa Kanisa Katoliki aliyejizolea umaarufu nchini Kenya kwa kutoa ibada kwa mtindo wa ku-rap,Paul Ogalo maarufu kwa jina la ‘Sweet Paul’ amesimamishwa kazi. Padri Ogalo (45) amekuwa akitumia staili ya ku-rap kuwashawishi vijana nchini Kenya kwenda kusali ili wajiweke karibu na Mungu. Taarifa hiyo ya kusimamishwa kazi kwa Padri huyo imetolewa na Askofu Mkuu wa jimbo Katoliki la Homa Bay, Philip Anyolo ambaye amemtaka padri huyo achague kati ya kuwa rapper au kuwa Padri. Kwa mujibu wa Gazeti la...

Like
498
0
Tuesday, 26 June 2018
Miaka 9 tokea kifo cha Michael Jackson, kuna haya ya kuyafahamu
Global News

Miaka tisa tokea dunia ipate taarifa za kifo cha mfalme wa muziki wa Pop duniani Marehemu Michael Jackson ambaye alifahamika duniani kote kutokana na upekee aliokuwa nao katika uchezaji pamoja na nyimbo zake ambazo zilipendwa na watu wengi ulimwenguni. Marehemu Michael Jackson alipendwa zaidi na watoto kutokana na upendo na ukaribu aliokuwa nao kwa watoto wote ambapo hakujali rangi na enzi za uhai wake Michael Jackson aliwahi pia kutembelea Tanzania na kukutana na Rais wa awamu ya pili wa Tanzania...

Like
896
0
Tuesday, 26 June 2018
Mwanamume afunga ndoa na wanawake wawili wakati mmoja
Global News

Kijana mmoja raia wa Somalia ambaye alioa wanawake wawili usiku mmoja amesema kwamba atawashawishi wanaume wengine kufanya hivyo. Bashir Mohamed anasema kuwa aliwachumbia wanawake wote kwa takriban miezi minane na kuwashawishi kufunga ndoa naye. ”Nilikuwa nikiwaleta nyumbaji wote pamoja”, alisema. ”Nilikuwa nikiwaambia wazi wote wawili kwamba nawapenda. Waliridhika” , aliongezea. ”Umuhimu wa kuwaoa wote wawili wakati mmoja ni kwamba hawangekuwa na wivu na kwamba watajua tangu awali kwamba wamekuwa katika ndoa za...

Like
367
0
Tuesday, 26 June 2018
MUUZA SAMBUSA ZA NYAMA YA PAKA KENYA AHUKUMIWA KIFUNGO CHA MIAKA 3 JELA
Global News

Mtu aliyetuhumiwa kwa kuuza nyama ya paka wauzaji sambusa amehukumwa kifungo cha miaka mitatu na mahakama ya Nakuru Hakimu mkuu Benard Mararo alimhukumu James Mukangu Kimani baada ya kukiri kosa hilo alipowasili katika mahakama hiyo siku ya Jumatatu. Bwana Kimani alishtakiwa kwa kuchinja na kuuza nyama ya paka kwa wateja wake mnamo mwezi Juni 24 mjini Nakuru. Alishtakiwa kwamba alimchinja paka kwa matumizi ya binaadamu kinyume na sheria ya chakula , dawa na kemikali. Mwanamume huyo alikamatwa Jumapili ambapo inadaiwa...

Like
418
0
Tuesday, 26 June 2018
Mnangagwa Asema Uchaguzi utafanyika kama ilivyopangwa
Global News

Rais wa Zimbabwe, Emmerson Mnangagwa amesema uchaguzi utafanyika kama ilivyopangwa tarehe 30 mwezi Julai, ingawa kulitokea alichokiita jaribio la kukatiza uhai wake lililotokea siku ya Jumamosi. Katika hatua nyingine, msemaji wa Polisi, Charity Charamba amevitaka vyombo vya habari na Umma kujitokeza iwapo wana picha za video za tukio la mlipuko wakati huu ambapo uchunguzi unafanyika. Amwewaambia wanahabari mjini Harare kuwa zawadi nono itatolewa kwa taarifa itakayotolewa kusaidia kwenye uchunguzi wao.Idadi ya waliojeruhiwa sasa imefika 49 na...

Like
333
0
Monday, 25 June 2018
Tangazo lililowahimiza wanawake kuzaa na wachezaji wa nje Urusi lashutumiwa
Global News

  Maduka maarufu ya vyakula nchini Urusi yameomba msamaha baada ya kutangaza zawadi ya dola 47,000 na 'burger' (mkate maalum uliotiwa nyama) maishani kwa mwanamke yeyote ambaye angejamiiana na kuzaa mtoto na mchezaji wa kandanda kutoka nchi za nje katika Kombe la Dunia. "Mwanamke ambaye atafanikiwa kupata jeni za mchezaji bora zaidi ataisaidia Urusi kupata mafanikio miaka inayokuja," tangazo hilo lilisema. Tangazo hilo lilizua hisia tofauti nchini Urusi ambayo ndiyo inaandaa Kombe la Dunia hali...

Like
393
0
Monday, 25 June 2018
Erdogan ashinda muhula wa pili wa urais Uturuki
Global News

Tume ya uchaguzi nchini Uturuki imemtangaza Rais Recep Tayyip Erdogan kama mshindi wa nafasi ya urais katika uchaguzi mkuu uliofanyika June 24. Erdogan ambaye aliingia madarakani 2014 ameshinda muhula wake wa pili kwa ailimia 53 ya kura zote zilizohesabiwa akiepuka kuingia mzunguko wa pili huku chama chake kikishinda wingi wa viti bungeni. Mpinzani wake mkuu Muharrem Ince kutoka chama cha CHP tayari amempongeza Erdogan katika mitandao ya kijamii licha ya kushutumu uchaguzi huo kuwa haukuwa wa haki. Muda mfupi kabla...

Like
377
0
Monday, 25 June 2018
EU yaongeza ushuru kwa bidhaa kutoka Marekani
Global News

Jumuiya ya Ulaya EU imeanzisha ongezeko jipya la tozo kwa bidha zinazotoka Marekani kama hatua ya kulipa kisasi dhidi ya sera ya kibiashara ya Rais Trump iliyotangaza ongezeko tozo ya uingizwaji wa bidhaa za chuma na bati nchini humo. Ongezeko hilo jipya la tozo lililotangazwa na EU linazilenga bidhaa za Marekani kama vile vinywaji vikali,Pikipiki zinzotengenezwa Marekani pamoja na maji ya matunda ya machungwa. Ongezeko hili la tozo mpya ya EU kama hatua ya kujibu mapigo dhidi ya Marekani dhidi...

Like
408
0
Friday, 22 June 2018