Sports

Yajue Makundi ya Kombe La Dunia na Timu zake
Sports

Kombe la dunia linaanza siku tisa zijazo kuanzia leo. Afrika inawakilishwa 5 katika mashindano hayo yanayochezwa nchini Urusi na wachambuzi wanasema Afrika inayo nafasi zamu hii. Leo tunakuletea makundi ya timu hizi Kundi A Kundi hili lina mwenyeji wa mashindano nchi ya Urusi na Saudi Arabia, Misri na Uruguay. Ndani ya kundi hili Urusi ndio nchi pekee iliyo chini kisoka katika viwango vya FIFA ikishika nafasi ya 65 wakifuata Saudi Arabia, nafasi ya 63, Misri na Uruguay wakiongoza kundi hili...

Like
941
0
Tuesday, 05 June 2018
Yaya Toure: ‘Guardiola Anawachukia na kuwaonea Wivu Wachezaji wa Afrika
Sports

Mkufunzi wa klabu ya Manchester City Pep Guardiola ana matatizo na Waafrika , kulingana na aliyekuwa kiungo wa kati wa timu hiyo Yaya Toure. Raia huyo wa Ivory Coast ambaye aliondoka City mwezi Mei baada ya kuhudumu kwa kipindi cha miaka minane katika klabu hiyo anasema kuwa anataka kuvunja mtazamo wa Guardiola ambaye amemtaja kuwa mwenye wivu. ”Pengine sisi Waafrika hatuchukuliwi kama wengine wanavyochukuliwa”, alisema Toure katika mahojiano na soka ya Ufaransa. Klabu ya Uingereza ya Man City imekataa kuzungumzia...

Like
542
0
Tuesday, 05 June 2018
Michuano ya Super Cup Kuendelea leo Singida United Vs Fc Leopard
Sports

Patashika Nguo Kuchanika nchini Kenya ambapo Michuano ya Super Cup Yanaendelea. Leo Wawakilishi wengine wa Tanzania, Singida United itatupa karata yake ya kuwania kuingia nusu fainal itakapo kukutana na FC Leopard, ya Kenya kwenya michuano hiyo. Jana tulishuhudia mnyama akitinga hatua ya Nusu fainal ya michuano hiyo baada ya kuwafunga timu ya Kariobang Sharks kwa penati 2-3. Ratiba inaonesha Simba watakutana na Wababe wa Yanga, Kakamega Homeboyz kesho, na mshindi wa leo kati ya Singida United dhidi ya FC Leopard...

1
910
0
Tuesday, 05 June 2018
Benchi la ufundi la Yanga laanza kumeguka, Kocha Msaidizi Shadrack Nsajigwa Abwaga Manyanga
Sports

Huku hali ikiwa tete ndani ya Klabu ya Yanga SC na baadhi ya wajumbe wa kamati tendaji kuachia ngazi nalo benchi la ufundi laanza kumeguka ambapo kocha msaidizi na nahodha wa zamani wa timu hiyo Shadrack Nsajigwa “FUSO” kuachia ngazi na kutoa ujumbe mzito kwa wanayanga Timu ya Yanga Sc Tangia aondoke kocha wake mkuu Lwandamina kuondoka ndani ya timu hyo Yanga haifanyi vizuri ampapo imeweza kushinda mechi moja tu dhidi ya Mbao Fc....

Like
626
0
Tuesday, 05 June 2018
REKODI YA YANGA SC TANGU AONDOKE LWANDAMINA
Sports

Hapa nimekuwekea michezo na Matokeo yote waliyoyapa yanga baada ya Kuondoka kocha wao  Lwandamina   Aprili 11, 2018; Yanga 1-1 Singida United (Ligi Kuu Dar es Salaam) Aprili 18, 2018; Welayta Dicha 1-0 Yanga SC (Kombe la Shirikisho) Aprili 22, 2018; Mbeya City 1-1 Yanga SC (Ligi Kuu Mbeya) Aprili 29, 2018; Simba 1 – 0 Yanga SC (Ligi Kuu Dar es Salaam) Mei 6, 2018; USM Alger 4-0 Yanga SC (Kombe la Shirikisho Algiers) Mei 10, 2018; Tanzania Prisons...

Like
931
0
Monday, 04 June 2018
Deogratius Munishi ‘Dida’:  Sina Mpango Kurudi Kucheza Soka Bongo
Sports

KIPA wa zamani wa Yanga, Deogratius Munishi ‘Dida’, ameweka wazi kuwa hana mpango wa kurejea kucheza tena nchini katika timu yoyote ya Ligi Kuu Bara ikiwemo Yanga kwa kuwa anataka kufika mbali zaidi katika upande wa soka la kulipwa.   Dida ambaye anacheza katika Klabu ya Chuo Kikuu cha Pretoria ‘Tucks FC’ inayo­shiriki Ligi Daraja la Kwanza nchini Afrika Kusini, amekuwa akihusishwa kurejea nchini kujiunga na timu yake hiyo ya za­mani ambayo kwa sasa ipo kwenye wakati mgumu wa kiuchumi....

Like
718
0
Monday, 04 June 2018
BAADA YA YANGA JANA KUCHEZEA KICHAPO CHA 3-1 LEO NI ZAMU YA SIMBA
Sports

Baada ya Yanga Sc kutupwa nje kwenye mashindano ya Super cup nchini Kenya kwa kufungwa mabao 3-1 dhidi ya Kakamega Homeboys, leo ni zamu ya Simba SC kutupa karata yake ya kwanza katika michuano ya hiyo ya Super Cup inayoendelea Nakuru nchini Kenya watacheza na .Kariobang Sharks majira ya saa tisa alasiri Kuelekea mechi hiyo, Simba wamedhamiria kupigania matokeo chanya huku wakiahidi kutokufanya vibaya kama ilivyokuwa mwaka jana. Kwa mujibu wa Mkuu wa Kitengo cha Habari na Mawasiliano Simba, Haji...

Like
852
0
Monday, 04 June 2018
no-cover
Sports

STAA wa Misri, Mohamed Salah, atakosa mchezo mmoja tu wa Kombe la Dunia baada ya hapo atakuwa fiti. Salah aliumia bega kwenye mchezo wa fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Real Madrid baada ya kuumizwa na Sergio Ramos.   Hata hivyo, kulikuwa na hofu kuwa staa huyo atashindwa kucheza fainali hizo lakini sasa imefahamika kuwa atakwenda na kukosa mchezo mmoja tu kwa kuwa kuanzia leo atakuwa nje kwa wiki tatu tu. Shirikisho la Soka la Misri, limesema kuwa...

Like
1423
0
Friday, 01 June 2018
Zinedine Zidane aachia ngazi Real Madrid
Sports

Zinedine Zidane amesema anaachia ngazi Real Madrid siku tano baada ya kuwaongoza kushinda Ligi ya Mabingwa Ulaya. Zidane aliambia mkutano na vyombo vya habari kwamba kila kitu kinabadilika na kwamba hiyo ndio sababu ya uamuzi wake Anaondoka baada ya kuisaidia klabu hiyo kushinda mataji matatu ya klabu bingwa na taji moja la ligi ya La Liga tangu achukue hatamu mnamo mwezi Januari 2016. ”Naipenda klabu hii”, aliongezea. ”Kile ninachofikiria ni kwamba timu hii inafaa kuendelea kushinda ,lakini nadhani inahitaji mabadiliko...

Like
463
0
Thursday, 31 May 2018
Mzee Yahaya Akilimali Atangaza nia ya Kuwania Uwenyekiti wa Klabu ya Yanga sc
Sports

Mzee Yahaya Akilimali leo asubuhi kupitia kwenye kipindi cha Sport HQ kinachorushwa na Efm Redio ametanganza nia ya kugombea Uwenyekiti wa Timu ya Yanga mwaka huu Amesema hayo baada yeye mwenyewe kukili kwamba ndani ya klabu ya Yanga kuna matatizo hivyo yeye ndio mtu sahii kuinusuru Yanga sc kwa sasa. Alienda mbali Zaidi na kusema ukiona Mbwa anabweka ujue mwenye Mbwa yupo jirani na huyo Mbwa. Wengi wanbeza kauli yake anaonekana ni kama mtu ambaye yeye anatumwa na watu kuweza...

Like
516
0
Thursday, 31 May 2018
TFF YAONGEZA MPUNGA KWA BINGWA WA KOMBE LA FA
Sports

Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limeongeza zawadi ya mshindi wa Kombe la Shirikisho ‘Azam Sports Federation Cup’ ili kuzidi kuongeza hamasa ya mashindano hayo. Kwa mujibu wa Afisa Habari wa Shirikisho hilo, Clifford Ndimbo, amesema kuwa zawadi ya mshindi wa Kombe hilo atatwaa kiasi cha shilingi milioni 50 huku wa pili akichukumia milioni 10. Aidha, Ndimbo ameeleza kutakuwa na zawadi nyingine zitatoka katika vipengele mbalimbali ikiwemo ya mchezaji bora, mfungaji bora pamoja na mlinda mlango bora wa michuano hiyo. Ni...

Like
434
0
Thursday, 31 May 2018