Slider

MAHAKIMU 11 KIBARUA CHAOTA NYASI
Slider

Dar es Salaam. Wakati mahakimu 11 na watumishi 23 wa mahakama wakifukuzwa kutokana na kukiuka maadili ya utumishi, wengine 62 watajadiliwa na vyombo vya kimahakama kuangalia hatima yao. Akizungumza baada ya kupokea ripoti ya miezi minane ya utendaji wa mahakama Jaji Mkuu Mohamed Chande Othman amesema mahakimu 32 walioshinda kesi za jinai katika mahakama mbalimbali nchini, watapelekwa kwenye Kamati ya Maadili ya Mahakama kwa ajili ya kufunguliwa mashauri ya kinidhamu. Amesema mahakimu wengine 30 walioshinda kesi za rushwa katika mahakama...

Like
199
0
Thursday, 08 September 2016
CHINA KUFUNGA DARAJA LA VIOO BAADA YA WIKI MBILI
Slider

Daraja la vioo lililojengwa juu nchini Uchina ililosifiwa kwa kuvunja rekodi lilipozinduliwa siku 13 tu zilizopita limefungwa. maafisa wanasema serikali inapanga kufanya ukarabati wa dharura wa eneo hilo na hivyo kufunga daraja hilo Ijumaa, ambapo tarehe ya kufunguliwa tena itatangazwa Lakini Kituo cha televisheni cha Marekani CNN kimesema kuwa msemaji amewaambia kuwa daaja hilo linaloelea juu “limekuwa likitembelewa na wageni wengi kupita uwezo wake “. Amesema kuwa hakuna ajali iliyowahi kutokea na daraja halikuwa na ufa wala...

Like
484
0
Monday, 05 September 2016
GABON: VURUGU ZATANDA BAADA YA ALI BONGO KUTANGAZWA MSHINDI
Slider

Fujo zimezuka katika mji mkuu wa Gabon, Libreville baada ya Rais Ali Bongo kutangazwa mshindi wa uchaguzi wa urais uliofanyika Jumamosi. Mgombea wa upinzani Jean Ping amesema watu wawili wameuawa na wengine wengi kujeruhiwa baada ya vikosi vya usalama kuvamia makao makuu ya chama chake. Serikali imesema inawaandama “wahalifu wenye silaha” ambao awali walikuwa wameteketeza majengo ya bunge. Bw Ping amepinga matokeo ya urais ambayo yalionyesha Rais Bongo alishinda uchaguzi kwa kura chache. Hii inampa fursa ya kuongoza taifa hilo...

Like
358
0
Thursday, 01 September 2016
ARSENAL KUMTOA JACK WILSHERE KWA MKOPO
Slider

Arsenal iko tayari kumtoa kwa mkopo kiungo wa kati wa Uingereza Jack Wilshere ili kupata fursa ya kujumuika katika kikosi cha kwanza cha timu. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 24,ambaye mchezo wake uliathirika kutokana na jeraha la mguu aliichezea Arsenal mara tatu pekee msimu uliopita baada ya kupata jeraha hilo. Aliichezea Uingereza mara sita pekee msimu ulioipita ,ikiwemo mechi tatu katika mashindano ya Euro2016, lakini hakuchaguliwa katika kikosi cha kwanza cha mkufunzi Sam Allardyce wiki hii. Arsenal ililipa pauni...

Like
200
0
Tuesday, 30 August 2016
WHATSAPP KUSHEA DATA NA FACEBOOK
Slider

Kamishna wa mawasiliano nchini Uingereza anachunguza uamuzi wa programu ya WhatsApp wa kugawana data na kampuni ya facebook. Data hiyo ya watumiaji wa WhatsApp itatumiwa kuvutia matangazo yanayoonekana na watumiaji wa mtandao wa facebook. Itagawana nambari za simu na maelezo ya mara ya mwisho mteja kuingia katika akaunti yake ya WhatsApp na facebook. Kamishna huyo amesema kuwa kwa kuwa mabadiliko hayo yataathiri watu wengi ,anataka maelezo zaidi kuhusu kile kitakachogawanywa kati ya huduma hizo mbili. Kamishna Elizabeth Denham amesema kuwa...

Like
406
0
Monday, 29 August 2016
MATUNDA NA MBOGA HUPUNGUZA HATARI YA UGONJWA WA MOYO
Slider

Utafiti mpya uliofanywa nchini Italy unasema kuwa chakula kinachotumiwa katika eneo la Mediterranean kinapunguza hatari ya vifo vya mapema miongoni mwa watu walio na ugonjwa wa moyo. Utafiti huo umebaini kwamba watu wanaotumia matunda,mboga,samaki na njugu hupunguza hatari ya kufariki ikilinganishwa na wale wanaokula nyama nyekundu na siagi. Mmiliki wa ripoti hiyo amesema kuwa mpango huo wa chakula unaweza kuwasaidia sana wagonjwa wa moyo ikilinganishwa na dawa zinazopunguza kiwango cha mafuta mwilini. Tafiti za awali kuhusu umuhimu wa chakula...

Like
280
0
Monday, 29 August 2016
MAHAKAMA YA UFARANSA YAAHIRISHA MARUFUKU YA UVAAJI WA BURKINI
Slider

Mahakama ya juu ya utawala nchini Ufaransa imeahirisha marufuku iliyowekwa na miji ya mwambao juu ya uvaaji wa vazi la kuogelea linalofunika mwili mzima ama burkini linalovaliwa na wanawake wa kiislam. Mahakama hiyo imeahirisha marufuku hiyo katika moja wapo ya miji hiyo wa – Villeneuve-Loubet – lakini kuna uwezekano mkubwa kwamba karibu miji thelethi iliyoweka amri hiyo pamoja na maeneo mengine ya miji ya mwambao wakaondoa marufuku hiyo. Kesi hiyo iliwasilishwa na wanaharakati ambao walisema hatua ya kupiga marufuku burkini...

Like
220
0
Friday, 26 August 2016
YCEEE WA NIGERIA KUTUA BONGO JUMAPILI HII
Slider

Mkali wa Nigeria, Ludemilade Martin Alejo maarufu kama YCEE, anatarajiwa kutua bongo, Jumapili hii. Mkali huyu anatarajiwa kuja Tanzania kwa dhumuni la kuutangaza zaidi muziki wake akiwa na ngoma kama Omo Alhaji, Jagabana’ na nyinginezo. Ziara hiyo itaambatana na mkutano wa waandishi wa habari siku ya Jumatatu, ikifuatiwa na ziara ya kutembelea vituo mbalimbali vya habari kuanzia Agosti 29 mpaka tarehe Septemba 1. Pamoja na hayo amesema kuwa, anayo shauku kubwa juu ya ziara yake kwani hii ni mara yake...

Like
351
0
Friday, 26 August 2016
RIO2016: WANARIADHA WA KENYA WAISHI KWENYE MAZINGIRA MAGUMU BAADA YA OLIMPIKI
Slider

Wanariadha wa Kenya wamekuwa wakiishi kwenye makazi ambayo hayawafurahishi timu hiyo baada ya kumalizika kwa Michezo ya Olimpiki mjini Rio, mmoja wa wanariadha hao amelalamika. Mkimbiaji wa mbio za Marathon, Wesley Korir, ambaye pia ni mbunge, amepakia picha za hoteli anayosema ni duni kwenye mitandao ya Twitter na Facebook akilalamika. “Timu iliyoongoza Afrika na timu ya pili dunia nzima katika riadha, na hivi ndivyo tunavyotunzwa ,” ameandika. Amelinganisha mazingira ya eneo wanamoishi na mtaa wa mabanda. Wanariadha hao...

Like
240
0
Thursday, 25 August 2016
RAIS DKT JOHN POMBE MAGUFULI AMUAPISHA MKURUGENZI MKUU MPYA WA IDARA YA USALAMA WA TAIFA
Slider

PICHA: Amiri Jeshi Mkuu Rais Dkt.John Pombe magufuli akimsikiliza Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa Dkt Modestus Francis Kapilimba akila kiapo cha maadili ya viongozi wa Umma Ikulu jijini Dar es salaam leo Agosti 24,...

Like
432
0
Wednesday, 24 August 2016
MIJADALA YA KUNDI LA WHATSAPP YAWATIA MBARONI
Slider

Polisi nchini Burundi wamewatia nguvuni wajumbe wanane wa mtandao wa kijamii wa WhatApp . Kulingana na msemaji wa wizara ya usalama wa umma nchini humo Pierre Nkurikiye watu hao ambao ni wakazi wa mji mkuu Bujumbura walikamatwa mnamo tarehe 20 Agosti kutokana na “vitendo vya uhalifu wa kimtandao “. Wanane hao kwa pamoja walikuwa ni wajumbe wa kundi moja la WhatsApp. Kwa mujibu wa Nkurikiye WhatsApp mijadala inayoendelea katika makundi ya WhatsApp inaeneza taarifa za “matusi ni chanzo cha ghasia...

Like
316
0
Wednesday, 24 August 2016