Slider

SASA SUGU HURU !
Local News

Mbeya. Viongozi wa Chadema wakiongozwa na mwenyekiti, Freeman Mbowe waliokwenda Gereza Kuu la Ruanda mkoani Mbeya kuwalaki Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ na Katibu wa Chadema Kanda ya Nyasa, Emmanuel Masonga wamepigwa butwaa baada ya kuelezwa na askari magereza kwamba wameshatoka. Wakiwa nje ya gereza leo Mei 10, 2018, viongozi hao walifuatwa na askari na kuelezwa kwamba wawili hao wameshatoka. Magari mawili ya polisi yaliyokuwa yameimarisha ulinzi gerezani hapo nayo yaliondoka. Happiness Msonge, mkewe Sugu...

Like
511
0
Thursday, 10 May 2018
SIRRO CUP KUANZA KUTIMUA KIBITI
Local News

     ...

Like
681
0
Tuesday, 08 May 2018
Zuckerberg akiri kosa lake na kuomba radhi
Global News

Mkurugenzi Mtendaji wa Facebook Mark Zuckerberg ametoa maelezo katika Bunge la Marekani- Congress kwa mara ya kwanza Jumanne, akijibu wasiwasi ulioelezwa na wabunge juu ya kushindwa kwa mtandao wa jamii maarufu kulinda taarifa zao. Taarifa hizo za siri za watumiaji wanaofikia milioni 87 ulimwenguni zilizotumiwa na kampuni yenye kujishughulisha na siasa- Cambridge Analytica iliyokuwa na mafungamano na Trump. Mahojiano hayo yanaendelea Jumatano wakati Zuckerberg atakapokutana katika raundi ya pili kujibu maswali mbele ya jopo la Wabunge wa...

1
348
0
Thursday, 12 April 2018
Marekani inapima hatua za kujibu shambulio ‘kemikali nchini Syria
Global News

Marekani inasema kuwa “tayari ana maamuzi mengi” za kujibu shambulio linaloshukiwa kuwa la kikemikali nchini Syria, huku viongozi wa magharibi wakiendelea kupima hatua za kijeshi. Msemaji wa Ikulu ya White House Sarah Sanders amewaambia wandishi wa habari kuwa hakuna ushahidi wa mwisho uliokwisha chukuliwa juu ya mashambulio ya kijeshi. Lakini amesema Marekani inaziwajibisha Urusi na Syria kwa tukio hilo. Baraza la Kitaifa la Usalama la Marekani litakutana Alhamisi, huku waziri mkuu wa Uingereza PM Theresa May akiitisha mkutano wa...

1
1101
0
Thursday, 12 April 2018
Gavana atuhumiwa kwa ubakaji DRC
Slider

Naibu Gavana wa jimbo la Ikweta kusini magharibu nchini Jamuhuri ya demokrasia ya Kongo ,Tathy Bikamba ameshtakiwa kwa tuhuma za ubakaji wa binti wa miaka 20 ambaye inadaiwa kuwa alimfanyia unyama huo baada ya kumpa dawa za kulevya. Gavana huyo anatarajiwa kufikishwa kinshasa kujibu tuhuma hizo mahakamani , ingawa wakili wake ametupia mbali tuhuma hizo. Taarifa kutoka duru za karibu za uchunguzi wa kesi hiyo ya kubaka vinasema kwamba gavana huyo alimbaka binti huyo siku ya Jumamosi. Bwana Bikamba ambaye...

Like
319
0
Wednesday, 04 April 2018
Magazeti ya Leo Al hamis ,March 29
Magazetini Leo

...

Like
394
0
Thursday, 29 March 2018
WAKILI ALIYEMUAPISHA RAILA ODINGA AZUHIRIWA UWANJA WA NDEGE
Slider

Wakili wa upinzani aliyeidhinisha kiapo cha Bw Raila Odinga alipokuwa anajiapisha kuwa ‘Rais wa Wananchi’ mwezi Januari bado amekwama katika uwanja wa ndege wa Jomo Kenyatta, Nairobi. Bw Miguna Miguna alijaribu kurejea Kenya Jumatatu lakini akazuiwa kuingia baada yake kudaiwa kutowasilisha pasipoti ya Canada ambayo ilitumiwa kumsafirisha kwa nguvu hadi Canada. Wakili huyo alisisitiza kwamba ni raia wa Kenya na hafai kuzuiwa kurejea. Taarifa zinasema Bw Miguna, ambaye pasipoti yake ya Kenya ilitwaliwa na polisi kabla ya kuondolewa...

Like
432
0
Tuesday, 27 March 2018
MICHAEL PETTER MSHINDI WA SHIKA NDINGA 2017
Local News

Michael Petter ambae ni mshiriki na mshindi wa #ShikaNdinga2017 akitoa mrejesho wa maisha yake ya biashara baada ya...

Like
360
0
Tuesday, 27 March 2018
LADHANI LEO, 26 March
Music

Professor Jay ndani ya Nyumba Professor Jay: Naamini basata ni wazazi na walezi wa muziki Professor Jay: Niliposikia nyimbo zinafungiwa nilishtuka, nafikili basata wanatakiwa kukaa na vijana kuweza kuwaelekeza Professor Jay: Kwa dunia ilivyo sasa sidhani hizi contents za kawaida sana sioni kama shida Professor Jay: Kweli tunaitji kujitune kufuata utamaduni wetu lakini tuliangalie hili Professor Jay: Unapoongelea serikali ni chombo kikubwa sana, na hata baraza la sanaa ni kama mzazi. Professor Jay: Kulidharau baraza la Sanaa si vizuri,...

Like
1012
0
Monday, 26 March 2018
POLISI YAKAGUA MAGARI YA WAFANYAKAZI EFM
Local News

Kikosi cha Usalama barabarani kikiongozwa na Kamanda J.T.Gwau kilifika ofisi za Efm redio Pamoja na tve kwa ajili ya kutoa elimu juu ya Usalama barabarani pamoja na Ukaguzi wa Magari ya Wafanyakazi wake. Ikiwa ni pamoja na Ubandikaji wa stika za siku ya Nenda kwa Usalama barabarani. Zoezi hilo lilikwenda vizuri bila matatatizo yoyote, wafanyakazi wa EFM Redio pamoja na TV E wamelishukuru Jeshi la Polisi kwa kuwapatia elimu hiyo, na kuhadi wataitumia vizuri pindi wawepo barabarni ili kupunguza...

Like
708
0
Friday, 23 March 2018
MAKONDA KUWAITA WALIOACHWA NA WAUME ZAO OFISI KWAKE
Local News

MKUU wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda amewataka wanawake wote waliotelekezwa na waume zao na hawapatiwi fedha za matunzo ya mtoto wafike ofisini Jumatatu ya Aprili 9 kwa lengo la kupatiwa msaada wa kisheria. Taarifa ya Makonda kwa vyombo vya habari aliyoitoa jana amesema jopo la wataalamu wa sheria, maofisa ustawi wa jamii na askari Polisi kutoka dawati la jinsia wamejipanga ipasavyo kuwahudumia na kuhakikisha mzazi mwenza anatoa fedha kwa ajili ya matunzo ya mtoto. “Huduma hii inatolewa...

Like
360
0
Friday, 23 March 2018