Slider

PANGANI: SERIKALI YATOA MIEZI 3 KWA WALIOHODHI VIWANJA KUVIENDELEZA
Local News

SERIKALI wilayani Pangani imewapa miezi mitatu baadhi ya watu waliohodhi viwanja vikiwemo vile vilivyopo pembezoni mwa bahari ya hindi kuviendeleza la sivyo haitasita kuwanyang’anya kwa mujibu wa sheria ili kuendeleza mji wa pangani ambao sehemu kubwa ya makao makuu ya wilaya imezungukwa na mapori. Akizungumza na efm kuhusu baadhi ya wafanyabiashara kuhodhi maeneo kwa makusudi kwa lengo la kuyafanyia biashara, mkuu wa wilaya ya pangani Regina Chonjo amemuagiza Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Pangani kwa kushirikiana na...

Like
208
0
Wednesday, 06 January 2016
WAZIRI MKUU ATEMBELEA KIWANDA CHA KUSINDIKA TUMBAKU MKOANI RUVUMA
Local News

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ametembelea kiwanda cha kusindika  tumbaku  cha mkoani Ruvuma na kuwasimamisha kazi viongozi wa Chama Kikuu Cha Ushirika cha SONAMCU.   Alikuwa akizungumza  katika ukumbi wa mikutano wa Ikulu Ndogo ya Songea, wakati alipokutana na wakulima wa zao la tumbaku wa Wilaya ya Namtumbo, Wananchama wa Vyama Vya Ushirika vya Mkoa wa Ruvuma, viongozi wa Mkoa pamoja na Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Edwin Ngonyani ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Tunduru Kaskazini.   Waziri...

Like
260
0
Wednesday, 06 January 2016
KUWAIT YAMUONDOA BALOZI WAKE IRAN
Global News

Kuwait imetangaza kwamba inamuondoa balozi wake kutoka Iran huku mvutano kuhusu kuuawa kwa mhubiri wa Saudi Arabia nchini Saudi Arabia ukizidi.   Ubalozi wa Saudi Arabia nchini Tehran ulivamiwa na kuchomwa moto na waandamanaji waliokuwa wakilalamikia kuuawa kwa mhubiri wa madhehebu ya Shia Sheikh Nimr al-Nimr na watu wengine 46 nchini Saudia Jumamosi.   Saudi Arabia ilivunja uhusiano na Iran baada ya tukio hilo, na washirika wake wa karibu Bahrain na Sudan wakafuata....

Like
148
0
Tuesday, 05 January 2016
WASHUKIWA WA UGAIDI WASAKWA MOMBASA
Global News

MAAFISA wa usalama nchini Kenya wanawasaka washukiwa wanne wa ugaidi ambao wanadaiwa kukwepa msako wa polisi katika nyumba moja Mombasa.   Polisi walipata bunduki mbili na vilipuzi baada ya kuvamia nyumba iliyokuwa ikitumiwa na wanne hao Jumatatu.   Kamishna wa jimbo la Mombasa Nelson Marwa anasema bunduki moja iliyopatikana ilitumiwa kumuua afisa wa polisi mjini humo mwaka...

Like
182
0
Tuesday, 05 January 2016
KIPINDIPINDU BADO TISHIO GEITA
Local News

VIONGOZI wa Mkoa wa Geita wametakiwa wasiwaonee aibu kuwafungia wafanyabiashara wasiofuata kanuni za usafi wa mazingira na hivyo kupelekea mlipuko wa kipindupindu.   Hayo yamesema na Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu wakati alipotembelea kambi ya wagonjwa ya kipindupindu iliyopo kwenye kituo cha afya Nyankumbuli mjini Geita.   Waziri Ummy amesema mlipuko wa kipindupindu upo hivyo kuwafumbia macho wale ambao wanafanya biashara katika mazingira yasiyo safi na salama lazima watu hao wafungiwe.  ...

Like
271
0
Tuesday, 05 January 2016
MHANDISI RONALD LWAKATARE ATEULIWA KUWA KAIMU WA DART
Local News

WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mhe. George Boniface Simbachawene, amemteua Mhandisi Ronald Lwakatare kuwa Kaimu Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka Dar es salaam –DART, uteuzi ambao umeanzia jana.   Uteuzi huo unafuatia kusimamishwa kazi kupisha uchunguzi kwa aliyekuwa Mtendaji Mkuu Bibi Asteria Mlambo aliyesimamishwa tarehe...

Like
454
0
Tuesday, 05 January 2016
NEW YEAR EVE PARTY YA DRAKE YAWAUNGANISHA LIL WYNE NA BIRDMAN
Entertanment

New Year’s Eve party ya Drake yawaunganisha Lil Wayne na Birdman, Huenda mwaka mpya wa 2016 ukawa ndio mwisho wa beef kati ya wawili hawa. Rais wa Young Money, Mack Maine amefanya kazi kubwa masaa mawili kabla ya party hiyo kuwakutanisha Lil Wayne na Birdman na kuweza kuzungumza jinsi ya kumaliza tofauti zao. Kwa majubu wa chanzo cha karibu na mastar hawa Mack Maine alitumia simu kuwakutanisha na kuzungumza huku wote wawili wakionyesha utayari wa kumaliza tofauti zao lakini Wyne...

Like
337
0
Tuesday, 05 January 2016
ZIDANE AKABIDHIWA MIKOBA YA BENITEZ KUINOA REAL MADRID
Slider

Zinedine Zidane achukua nafasi ya Rafael Benitez kuinoa Real Madrid. Rafael Benitez ametimuliwa katika nafasi ya kuwa meneja wa klabu ya Real Madrid baada ya kushika hatamu ya uongozi katika kipindi cha miezi 7 kabla kibarua kuota nyasi. Mhispania huyu, Benitez, 55 ameanguliwa kwenye nafasi hiyo baada ya kikao cha bodi ya klabu hiyo kukutana na kufikia maamuzi hayo. Zidane, 43, amepandishwa kutoka kwenye nafasi yake ya awali ambapo alikuwa anakinoa kikosi B cha klabu ya Real Madrid   Mfaransa...

Like
280
0
Tuesday, 05 January 2016
UINGEREZA YAMTAMBUA MTU WA IS
Global News

VYANZO vya kiintelijensia nchini Uingereza vimeiambia BBC kwamba vinaamini wamemtambua mwanaume mwenye asili ya nchi hiyo ambaye anaonekana katika mkanda wa video wa hivi karibuni wenye kupigia chapuo propaganda za kundi la kigaidi la wanamgambo wa Islamic State.   Vyanzo hivyo vimemtaja mtu huyo kuwa ni Siddhartha Dhar, ambaye anaaminika alikuwa akiishi Mashariki mwa London.   Kwa asili Siddhartha anatajwa kuwa ni Mhindi ambaye aliamua kubadilisha dini yake ya awali na kuwa Mwislamu na inafahamika kuwa baada ya hapo aliamua...

Like
171
0
Tuesday, 05 January 2016
OBAMA KUTANGAZA UHAKIKI WA SILAHA
Global News

RAIS Barack Obama wa Marekani anatarajiwa kutangaza mpango wa kuhakiki silaha katika masoko ya sihala hii leo wakati atakapotangaza mpango huo.   Akizungumza na waandishi wa habari baada ya kukutana na Mwanasheria Mkuu wa nchi hiyo amesema anataka kutumia mamlaka yake ya urais kwa sababu bunge la congress limeshindwa kushughulikia tatizo hilo.   Rais Obama ana matumaini kuwa jambo hilo limepokelewa na wamerekani wengi wakiwemo wamiliki wa silaha, wanaounga mkono na...

Like
146
0
Tuesday, 05 January 2016
WAZIRI MKUU AFUNGUA TAWI LA BENKI YA POSTA SONGEA
Local News

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amefungua tawi la Benki ya Posta iliyopo mjini Songea, wakati akiwa katika ziara mkoni Ruvuma inayotarajiwa kumalizika kesho, jumatano.   Akizungumza  na uongozi  na wafanyakazi wa  Benki ya Posta pamoja na wateja waliohudhuria ufunguzi  wa tawi hilo uliofanyika  nje ya benki hiyo, Waziri Mkuu  amesema amefarijika kuona benki hiyo  iliyokua imekumbwa na matatizo sasa imezaliwa upya na kumpongeza Mkurugenzi wa Benki ya Posta  nchini Bwana. Sabasaba Mushindi kwa jitihada zake za kuifufua....

Like
359
0
Tuesday, 05 January 2016