Christiano Ronaldo Mchezaji Bora Ulaya

Christiano Ronaldo Mchezaji Bora Ulaya

Like
334
0
Friday, 29 August 2014
Local News

Ronaldo

Mchezaji wa kimataifa wa Portugal anayechezea timu ya Real Madrid Christiano Ronaldo Jana usiku alitwaa tuzo ya Mchezaji Bora wa Ulaya kwa mwaka 2014/2015.

Ronaldo alitwaa tuzo hiyo akiwashinda wachezaji Arjen Robben wa Bayern Munich Emmanuel Neur wa Bayern Munich katika sherehew iliyofanyika jijini Monaco nchini Ufaransa.

Comments are closed.