FROOME ASHINDA MASHINDANO YA YA BAISKELI

FROOME ASHINDA MASHINDANO YA YA BAISKELI

Like
223
0
Monday, 27 July 2015
Slider

Mshindi wa mashindano ya baiskeli yajulikanayo kama Tour de France ,Chris Froome ameweza kushinda kwa mara ya pili tangu aingie kwenye mchezo huo.

Katika mchezo wake wa mwisho huko mjini Paris mshindi huyo Froome aliweza kufanya ushindi huo uwe rahisi kwa kumaliza chini ya muda.

Mwaka huu bado Froome ni mfalme wa michuano hii kwa mwaka mwisho huko mjini Paris mshindi huyo Froome aliweza kufanya ushindi huo uwe rahisi kwa kumaliza chini ya muda .Mwaka huu bado Froome ni mfalme wa michuano hii kwa mwaka huu. Ushindi wa Froome uliokuwa baina ya timu ya Briton na Sky,ambayo iliweza kutoa washindi watatu. Froome amewahi kuishi nchini Kenya wakati akiwa na umri mdogo.

Comments are closed.