JAMII IMEOMBWA KUSAIDIA WATU WENYE ULEMAVU KUHAKIKISHA WANAPATA ELIMU

JAMII IMEOMBWA KUSAIDIA WATU WENYE ULEMAVU KUHAKIKISHA WANAPATA ELIMU

Like
241
0
Friday, 19 February 2016
Global News

SERIKALI imeombwa kuisaidia jamii ya watu wenye ulemavu wa aina mbalimbali kuhakikisha wanapata elimu kwani hadi sasa ni asilimia 10 pekee ndiyo wanaopata elimu.

 

Akizungumza na kituo hiki Katibu wa Shirikisho la vyama vya watu wenye ulemavu (SHIVYAWATA) amesema kuwa Tanzania ina zaidi ya watu million sita wenye ulemavu mbalimbali hivyo ni vema wakasaidiwa kupata elimu ili kuondokana na tatizo la kuitegemea jamii na serikali kuwasaidia kuyaendesha maisha yao.

Comments are closed.