Jason Derulo amethibitisha rasmi kuachana na Jordin Sparks

Jason Derulo amethibitisha rasmi kuachana na Jordin Sparks

Like
376
0
Monday, 29 September 2014
Entertanment

GTY_jason_derulo_jordin_sparks__16x9_992

mkali wa r&b kutoka marekani Jason Derulo ambae alikuwa na mahusiano na mwimbaji mwenzake Jordin Sparks.Jason Derulo  amethibitisha kuachana kwao kupitia ABC News kwa kusema hakuna ubaya baina yao wala usaliti ama kukwazana. Jason ameongeza kuwa licha ya mahusiano yao kuwa ni maswala binafsi ila anayaweka wazi kuepuka kuvuma kwa taarifa zisizo za kweli kupitia vyao tofauti vya habari, wawili hao ambao wamedumu kwa miaka mitatu mara baada ya kuingia rasmi kwenye mahusiano mwaka 2011 na kuamua kuyaweka wazi mwaka uliofuata 2012. kwa upande wake Jordan Sparks aliandika pia kupitia mtandao wa twitter maneno haya kuthibitisha hayo “Don’t cry because it’s over, smile because it happened,” wawili hao walimake headline zaidi mwaka jana baada Jason ngoma ya “marry me” iliyosemekana kuwa maalum kwa Jordan sparks baada ya kuonekana pia kwenye Video hiyo

Comments are closed.