Kamati Yapendekeza Mipaka Uhuru Wa Habari

Kamati Yapendekeza Mipaka Uhuru Wa Habari

Like
411
0
Wednesday, 03 September 2014
Local News

Anna Abdalla

Bunge maalumu la Katiba linaloendelea mjini Dodoma limependekeza kuwe na mipaka ya Uhuru wa Vyombo vya Habari badala ya kuwa na Uhuru usiokuwa na Mipaka.
Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa Kamati Namba Kumi ya Bunge maalumu la Katiba Mheshimiwa ANNA ABDALLAH wakati akiwasilisha maoni ya Wajumbe walio wengi katika Kamati hiyo ambapo Kamati hiyo imevitaka vyombo vya Habari kulinda na kuheshimu Utu,Heshima,Uhuru na Staha ya Mtu

 

Comments are closed.