MEEK MILL KUTOKA JELA HIVI KARIBUNI

MEEK MILL KUTOKA JELA HIVI KARIBUNI

Like
481
0
Monday, 29 September 2014
Entertanment

 

Rapa kutoka kundi la MMG Meek Mill ambae jina lake halisi ni Robert Williams alihukumiwa kutumikia kifungo kisichopungua miezi mitatu hadi sita jela baada ya rufaa yake kukataliwa alipokutwa na hatia ya kutofuata taratibu alizowekewa wakati anatumikia kifungo cha nje ikiwemo fujo na vurugu. Meek Mill alitiwa hatiani baada ya kukamatwa na silaha pamoja na madawa ya kulevya mwaka 2008 ambapo alitumikia miezi nane jela kabla hajaachiwa kutumikia kifungo cha nje ndani ya miaka mitano.Kupitia mtandao wa twitter rick rosey alitweet picha ya rapa huyo akiwa jela na kuandika #FreeMeekMill Dreams Worth More than $$$$.” Ikiwa ni siku chache rapa huyo kutarajiwa kurudi uraiani pamoja na kutoa albam yake ya Dreams Worth More Than Money baada ya kusogezwa mbele 

 

 

 

 

 

 

 

Comments are closed.