Serikali Yaridhishwa Na Maendelea Ya Mradi Wa Mabasi Yaendayo kasi

Serikali Yaridhishwa Na Maendelea Ya Mradi Wa Mabasi Yaendayo kasi

Like
419
0
Thursday, 28 August 2014
Local News

Hawa Ghasia

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI), Bi. Hawa Ghasia ameridhishwa na tathimini ya mkutano wa mashauriaono wa awamu ya kwanza wa Mradi wa Mabasi yaendeyo Haraka (DART) uliofanyika hivi karibuni ukiwemo pia na wa kampuni ya Simon Group inayomiliki mabasi ya UDA na wamiliki wa usafirishaji jijini Dar es Salaam.

Comments are closed.