SIKILIZA MAJIBU YA BABU TALE KUFUATIA TUHUMA ZA DIAMOND KUVAA SARE ZA JESHI

SIKILIZA MAJIBU YA BABU TALE KUFUATIA TUHUMA ZA DIAMOND KUVAA SARE ZA JESHI

Like
559
0
Friday, 24 October 2014
Entertanment

Baada ya diamond na meneja wake babu tale kufanyiwa mahojiano na jeshi la polisi katika kituo cha  Oystersbay haya ndio majibu ya babu tale wakati anahojiwa katika kipindi cha joto la asubuhi kwenye kipengere cha KABALI kinachoruka kila ijumaa

kipindi hiki kinaongozwa na Sebo pamoja na Kanki

 

Comments are closed.