Tag: CHIN BEEZ

  • LADHANI LEO CHIN BEEZ ANA REVIEW ALBUM YAKE LIVE

    LADHANI LEO CHIN BEEZ ANA REVIEW ALBUM YAKE LIVE

    CHIN BEEZ akiwa ndani ya kipindi cha Ladha 3600
    CHIN BEEZ kulia akiwa na mtangazaji wa kipindi cha Ladha 3600, Jabiri Salehe kushoto wakionesha cover ya cd ya Album yake
    CHIN BEEZ akikamua

     

    CHIN BEEZ: unajua ukizungumzia swala la Albam, tukiziweka ndani hatuwatendei haki mashabiki wetu

    CHIN BEEZ: Hii ni kama zawadi nimewapa mashabiki wangu

    CHIN BEEZ: Hii albam ni bure kabisa una weza kudownload kupitia wanene

    CHIN BEEZ: Na sisitiza usiuziwe hii Albam, ni bure ni zawadi kwamashabiki wangu

    CHIN BEEZ: Sometie kila msanii ana stayle yake unajua ehe

    CHIN BEEZ: Mimi sio mkorofi ila unajua mtu ukiwa na modi furani hivi ndio unaonekana hivyo

    CHIN BEEZ: Sasa mimi nafikiria maisha, yale mambo ya zamani sinaga tena meen

    CHIN BEEZ: Kwa Bongo hii ndio album ya kwanza ambayo haina korabo

    CHIN BEEZ: Nimeimba mwenyewe Album nzima kwa sababu nyimbo nyingi nilikuwaga nazo

    CHIN BEEZ: Toka niachane Mpenzi wangu, now Sina Perment love (Nipo Single)

    CHIN BEEZ: Mimi sio mtu wa starehe, mimi ni mtu wa studio

    CHIN BEEZ: Hii album ina nyimbo 11 na ni bure kabisa, unaweza kuipata youtube, au unaweza ukagoogle

    BOFYA HA KU DOWANLOAD NYIMBO YA MY BABY YA CHIN BEEZ