UCHAGUZI DRC WAAHIRISHWA KWA MIAKA MIWILI

UCHAGUZI DRC WAAHIRISHWA KWA MIAKA MIWILI

Like
208
0
Monday, 03 October 2016
Slider

aarifa kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, zinasema kuwa tume huru ya Uchaguzi nchini humo, imetangaza kuwa uchaguzi mkuu sasa utaandaliwa Novemba mwaka wa 2018 na wala sio mwaka huu kama ilivyotarajiwa.

Viongozi kadha wa upinzani walioshiriki katika mazungumzo ya amani ya kitaifa wameafikiana na uamuzi huo, lakini kuna wale wanaoupinga wakisema ni njama ya Rais Joseph kabila kusalia madarakani.

Comments are closed.