WIZ KID AZUNGUMZIA COLLABO YAKE NA CRISS BROWN

WIZ KID AZUNGUMZIA COLLABO YAKE NA CRISS BROWN

Like
320
0
Friday, 10 October 2014
Entertanment

 

Mkali kutoka Nigeria Wiz kid Ayo amezungumzia collabo yake na Criss Brown kupitia Capital Extra ya Uingereza jumamosi iliyopita

Wiz kid amesema kuwa anatarajia kuiweka ngoma hiyo ambayo amemshirikisha Criss Brown aliyoipa jina la African bad girl   kwenye Albam yake ijayo

Comments are closed.