featured

Msanii LADY JAY DEE (@jidejaydee) ameula katika michuano ya Kombe la Dunia 2014
Entertanment

Msanii Judith Wambura ‘Lady Jaydee’ ameula katika michuano ya Kombe la Dunia 2014 baada ya kupata nafasi ya kuandaa wimbo kwa a jili ya michuano hiyo mikubwa zaidi ya soka duniani. Jaydee anayefahamika pia kama Komandoo au Anaconda, amepata fursa ya kuandaa wimbo maalum wa michuano hiyo ‘FIFA World Cup Anthem’ akishirikiana na wakali wawili David Correy wa Brazil na rapa Octopizzo wa Kenya. Katika wimbo huo, Lady Jaydee na Correy wameimba kwa lugha ya Kiingereza huku Octopizzo ‘akichana’ kwa...

Like
462
0
Friday, 11 April 2014
VODACOM YATEMBELEA VYOMBO VYA HABARI KUIMARISHA UHUSIANO
Global News

Waendeshaji wa kipindi cha Morning Choice kinachorushwa na kituo cha Radio cha Choice FM Baby Kabai (kulia) na Evans Bukuku wakionesha manjonjo kwa Mkuu wa Masoko wa Vodacom Kelvin Twissa na Mkuu wa Mawasiliano na Uhusiano wa Vodacom Rosalynn Mworia (hawapo pichani) walipotembelea vyombo vya habari vilivyo chini ya Clouds Media...

Like
396
0
Friday, 11 April 2014
Matumaini Katiba Mpya arijojo
Global News

Ikulu imeeleza kuwa imeshindwa kutimiza ahadi yake kwa taifa ya kulipatia Katiba Mpya ifikapo Aprili 26, 2014. Katibu Mkuu Kiongozi (KMK), Balozi Ombeni Sefue alilieleza gazeti hili kuwa kwa hali ya mchakato huo ilivyo sasa, wameshindwa kufikia lengo hilo, lakini hawajakata tamaa kuhusu kupatikana Katiba Mpya ndani ya mwaka huu. “Kweli matarajio ya awali yalikuwa hayo, lakini kama unavyoona hali ilivyo, ni vigumu kusema matarajio mengine, ingawa majadiliano yaliyofanywa mwaka huu ni lazima Katiba inayopendekezwa iwasilishwe kwa wananchi na...

Like
383
0
Monday, 07 April 2014
Mh. Edward Lowassa amuaga mkuu mkoa wa Mara
Global News

Waziri Mkuu mstaafu an mbunge wa Monduli Mh Edward Lowassa akiwasili katika viwanja vya Mwalimu Nyerere kumuaga mwili wa Mkuu wa Mkoa wa Mara marehemu John G Tuppa.Pembeni ni mbunge wa Mwibara Kangi...

Like
410
0
Sunday, 30 March 2014
Dar es Salaam ikinyesha mvua kidogo tu basi NI SHIDAAAA
Local News

Haya ni maeneo ya Mikocheni Tanesco ambapo huwaga hivi kama siku itanyesha mvua kubwa…husababisha foleni kubwa ya magari kwa wafanyakazi waendao makazini nyakati za...

Like
349
0
Sunday, 30 March 2014