Tag: KenyaXV’s

  • IAN SNOOK ATUA KENYA: RUGBY

    IAN SNOOK ATUA KENYA: RUGBY

    Ian Snook
    The Simbas #KenyaXV’s

    Chama cha mchezo wa Rugby nchini Kenya kimemteuwa Ian Snook toka New Zealand kuwa kocha mkuu wa timu ya #KenyaXV’s “The Simbas” Akichukuwa nafasi ya Jerome Roulstone amabaye nae ni raia wa New Zealand