Mh. Lowassa akagua maandalizi ya Sokoine day Monduli Juu

Mh. Lowassa akagua maandalizi ya Sokoine day Monduli Juu

Like
465
0
Monday, 14 April 2014
Global News

Waziri mkuu mstaafu na mbunge wa Monduli Mh Edward Lowassa akipata maelezo kutoka kwa watoto wa marehemu Edward Sokoine, Namelok Sokoine(mb) na Joseph Sokoine ambaye ni afisa katika balozi wa Taznania nchini Kanada, kuhusiana na maandalizi ya maadhimisho ya miaka 30 ya kifo Cha aliyekuwa waziri mkuu an mbunge wa Monduli Marehemu Edward moringe Sokoine, kesho April 12. Rais Jakaya Kikwete ataongoza maadhimisho hayo pamoja na marais na mawaziri wakuu wastaafu.

Comments are closed.