Tag: shika ndinga

  • Waziri Mwakyembe Anogesha final ya Shika Ndinga 2018

    Waziri Mwakyembe Anogesha final ya Shika Ndinga 2018

    Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe ambaye ndiye alikuwa mgeni rasmi wa kilele cha shindano la Shika Ndinga 2018 akionyesha mfano wa kushika ndinga kwa washiriki
    kutoka Kushoto Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe ambaye ndiye alikuwa Mgeni rasmi wa kilele cha shindano la Shika Ndinga 2018 akifuatiwa na Meneja Mkuu E-fm & Tv E, Dennis Ssebo pamoja na Mhariri Mkuu Vipindi vya Redio na Tv E Scholastica Mazula wakiwa kwenye meza kuu

     

  • Kinachoendele Viwanja wa Tanganyika Packers Shika Ndinga 2018

    Kinachoendele Viwanja wa Tanganyika Packers Shika Ndinga 2018

    Uwanja wa Mapambano
    Wananchi waliojitokeza kwenye Final ya Shika ndinga 2018
    Wananchi
    Eneo la Muziki unaotea kwenye Viwanja hivi Tanganyika Peckers, amabapo final ya Shika ndinga 2018 inafanyika
    Rdj Auto Run kwenye mashine ya Burudani
  • Habari Picha Efm Jogging Final Shika Ndinga 2018

    Habari Picha Efm Jogging Final Shika Ndinga 2018

    Meneja Rasilimali watu wa Efm akiwa ni miongoni mwa walioshiriki katika Jogging kwenye final ya Shika Ndinga 2018 iliyofanyika viwanja vya Tanganyika Peckers
  • MATUKIO KWA PICHA, SHIKA NDINGA PWANI 93.7

    MATUKIO KWA PICHA, SHIKA NDINGA PWANI 93.7

    Swebe Akichimba Mashimo kwa ajili ya Kuweka Alama ndani ya uwanja wa mapambano
    Team ya EFM ikiandaa kiwanja kwa ajli ya kushika ndinga ndani ya viwanja vya Bwawani Kibaha

     

    Team ya Efm imewasili salama kwenye viwanja hivi vya Bwawani, Kibaha, na Maandalizi yanaanza

    Washiriki wanaanza kupewa semina kuwa tayari kuingia kwenye mpambano wa kushika ndinga.

    Washiriki waliofika katika viwanja hivi vya Bwawani wakiwa tayari kuanza mpambano wa kushika ndinga
    Washiriki waliofika katika viwanja hivi vya Bwawani wakiwa tayari kuanza mpambano wa kushika ndinga
    Watu wa huduma ya kwanza wakiwa tayari kutoa huduma ya kwanza kwa yeyote atakayepatwa na tatizo kwenye eneo hili la Bwawani kibaha, kushika ndinga # Tunapindua Meza Kibabe
    Wananchi walio wahi mapema kabisa kushuhudia watu wakishika ndinga hapa hapa kwenye viwanja vya Bwawani, Kibaha

    Kiwanja ambacho cha kushindanisha washiriki kipo tayari na sasa muda wowote kuto muda huu zoezi la kushika ndinga linakwenda kuanza # tunapindua meza kibabe

    Burudani ikiendelea katika viwanja hivi vya Bwawani, Kibaha,

    Jeshi la polisi likitoa usalama wa wananchi walifika kushuhudia watu wakishika ndinga
    Kila kitu kipo sawa muda wowote tunaanza zoezi la kushika ndinga
    Kwenye Mashine ya Muziki anayetuburudisha kwenye viwanja hivi vya Bwawani Kibaha yupo RDJ AUTO RUN, Akitupa Visingeli
    Timu yetu ya TV E wakiaweka mazingira mazuri kwa ajili ya kuchukua maukio yote yanayojili hapa kwenye viwanja hvi vya Bwawani Kibaha

    Mpambano wa kushindanisha washindi umeshaanza na washiliki wamenza na zoezi la kujaza maji, hivyo tunasubiri matokeo kutoka kwa majaji, nani atatoka na nani atandelea na mpambano.

    Matokeo ya Majaji yanatoa uamuzi kwamba Mshiriki Abdallah Mohamed, Ramadhani, Ima Lukindo wameaga mashindano baada ya kuwa na point chache ukilinganisha na point za wengine.

    Wananchi wakishuhudia mpambano mkali wa kutafuta washindi wa shika ndinga 2018
    TTCL wakitoa huduma ya kuwapatia wananchi wa pwani line za bure na muda wa maongezi
    Vilainishi vya Shell Advance wakitoa huduma kwa wananchi waliojitokeza eneo hilo
    Baadhi ya Watu waliopanda juu ya miti ili waweze kuangalia kinachotokea
    Muda wa kumtafuta wa kuchukua bodaboda.

    ..