Waziri Mwakyembe Anogesha final ya Shika Ndinga 2018

Written by

in

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe ambaye ndiye alikuwa mgeni rasmi wa kilele cha shindano la Shika Ndinga 2018 akionyesha mfano wa kushika ndinga kwa washiriki
kutoka Kushoto Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe ambaye ndiye alikuwa Mgeni rasmi wa kilele cha shindano la Shika Ndinga 2018 akifuatiwa na Meneja Mkuu E-fm & Tv E, Dennis Ssebo pamoja na Mhariri Mkuu Vipindi vya Redio na Tv E Scholastica Mazula wakiwa kwenye meza kuu

 

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *