
Rais Dkt JP Magufuli amekataa ombi la Rais Mstaafu Mzee Ali Hassan Mwinyi, aliyeomba kustaafu kuwa Mdhamini wa Skauti Tanzania.
Rais Dkt Magufuli amesema, bado vijana wana mambo mengi ya kujifunza kutoka kwake.


Rais Dkt JP Magufuli amekataa ombi la Rais Mstaafu Mzee Ali Hassan Mwinyi, aliyeomba kustaafu kuwa Mdhamini wa Skauti Tanzania.
Rais Dkt Magufuli amesema, bado vijana wana mambo mengi ya kujifunza kutoka kwake.
Leave a Reply