Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Albert Chalamila, ametoa amri ya kuwekwa rumande saa 24, Katibu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), kata ya Maanga, bwana Norasco Tibakawa kwa madai ya kula rambirambi ya shilingi 20,000.

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Albert Chalamila, ametoa amri ya kuwekwa rumande saa 24, Katibu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), kata ya Maanga, bwana Norasco Tibakawa kwa madai ya kula rambirambi ya shilingi 20,000.
Leave a Reply