Video hii imeongozwa na Justin Campos
Category: Video
-

VIDEO: VANESSA – NEVER EVER
Vanessa ameshinda tuzo ya Best Female East Africa kwenye Tuzo za AFRIMMA
Unaweza kuitazama video ya wimbo mpya wake mpya hapa
-

NEW VIDEO: WASWAZI FT RICH MAVOKO – NAKOSA IMANI
Wimbo mpya kutoka kundi la Waswazi waliomshirikisha Rich Mavoko
Song Nakosa Imani
Producer Abba Process
Video directed by Adam Juma
-

TYRESE: WAZUNGU NI WABAGUZI HAWATOPIGA WIMBO WANGU
Mkali wa r&b kutoka Marekani ambae pia ni muigizaji wa wa movie ya Fast and Furious Tyrese amevifungukia vyombo vya habari vinavyomilikiwa na watu weupe nchini humo kuwa na ubaguzi wa rangi.
Tyres amesema kuwa redio hizo zinapiga nyimbo za R&B/Soul ambazo zimeibwa na watu weupe tu lakini sio watu weusi ambao kimsingi ndio wanafanya vizuri kwenye chart za muziki huo akiwemo yeye mwenyewe ambae albamu yake imeshika namba moja kwenye chart za muziki wa R&B/Soul album.
Tyrese amefunguka kuwa hawezi kuupeleka wimbo wake wake mpya “Shame” kwenye vituo vya watu hao kwani hawatoucheza labda angeimbwa na Justin Timberlake, Sam Smith ama Robin Thicke.
-

THE GAME: BADO NATUMIA MKWANJA WA G-UNIT
Rapa The Game ambae hapo nyuma aliwahi kuwa member wa kundi la G-Unit amesema kuwa richa ya yeye kutokuwepo kwenye kundi hilo kwa sasa lakini bado anatumia mafanikio anayoyapata kifedha kutokana na kazi za kundi hilo.
Akiongea wakati wa hafla ya awali kabla ya tuzo za BET kufanyika amesema “Nina dola milioni 30n mfukoni bado natumia mkwanja kutoka G-Unit richa ya kutosikika kwenye redio “.
The Game amekuwa na mahusiano mabaya na boss wa kundi hilo 50 Cent nah ii ni moja kati ya sababu zilizofanya asihusike pindi kundi hilo lilipoundwa tena.
https://youtu.be/lTKMc25j0A4
-

NEW VIDEO: DIAMOND FT MR FLAVOUR – NANA
Diamond ameachia rasmi video ya wimbo aliomshirikisha Mr Flavour – NaNa
Audio imeandaliwa na Nahreal
Video imeongozwa na God Father
-

NEW VIDEO: OMMY DIMPOZ WANJERA
Haya ndio majibu ya maswali ya muda mrefu kuhusu picha za mahaba zilizokuwa zikisambazwa na kuzua maswali iwapo kuna ukweli kwamba Ommy Dimpoz na Wema ni wapenzi. mbali na wema mshindi wa BBA Hotshot pia Idris Sultan ameshiriki kwenye video hiyo
Huu ni wimbo mpya wa Dimpozi video imefanywa na kampuni ya Godfather huko Afrika kusini