kwa wale watumiaji wa mtandao wa instagram wenye kuwafollow mapacha kutokea nchini Nigeria P square hivi karibuni wamekuwa wakipost picha nyingi wakiwa nchini Afrika kusini sasa hiki ndicho walichokuwa wanafanya P Square ft Don Jazzy Song: Collabo Video imeoongozwa na Clarence Peters na Jude...
Mkali kutokea Kenya hutmaker wa ngoma ya Kigeugeu, Kioo na nyingine kibao hivi karibuni anatarajia kuachia mzigo mpya unaokwenda kwa jina la huu mwaka. Jaguar mapema hapo jana alishea kipande cha video ya wimbo huo iliyofanywa chini ya kampuni ya Godfather Video dropping soon… watch the full trailler here http://youtu.be/MDxn7c9iqPI #huumwaka A post shared by Hon. Jaguar (@jaguarkenya) on Feb 18, 2015 at 12:33am...
Audio imetayarishwa na Dupy pamoja na Fraga katika studio za Uprise music Artist Masia...
Wiki kadhaa nyuma mkali kutoka Tanzania Diamond kutua Mombasa na msafara wa polisi, sasa Charles Njagua waweza kumuita Jaguar kama ilivyozoeleka kwenye tasnia ya muziki ameweka rekodi ya kuwa msanii wa kwanza kutoka Kenye kutua katika pwani ya Mombasa kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Moi akiwa na msafara mkubwa wa...
Mkali kutoka Nigeria ambae yumo kwenye list ya wasanii manaotengeneza mpunga mrefu D’banj miezi kadhaa nyuma alitangaza bidhaa yake ya KOKO GARRI katika video ya wimbo mpya kabisa aliotoa D’banj Feeling the Nigga ameonekana zaidi akiutangaza utalii na utajiri wa asili unaopatikana Afrika lakini alienda mbali zaidi kibiashara kwa kuonyesha moja ya bidhaa zake KOKO GARRI itazame video hapa ...
video ya wimbo mpya wa Nay wa mitego akadumba imeongozwa na Kevin Bosco Jnr ...
Msanii kutoka pande za Nigeria ambae alipata umaarufu mkubwa Afrika na Dunia kwa ujumla baada ya kuachia wimbo wake wa African Queen na kufanya vizuri kwenye chati za redio na tv kwa kipindi hicho. Lakini huo haukuwa wimbo wa kwanza wa msanii huyo, mashabiki wa Muziki wa Nigeria wanautambua wimbo wa Nfana Ibaga alioufanya miaka kumi iliyopita na kufanya vizuri kwenye tasnia ya muziki wa Nigeria wimbo huo una bahati ya kudumu kwenye masikio ya mashabiki wa 2face. Kufuatia hali hiyo...
Mkali kutoka Nigeria Wiz kid Ayo amezungumzia collabo yake na Criss Brown kupitia Capital Extra ya Uingereza jumamosi iliyopita Wiz kid amesema kuwa anatarajia kuiweka ngoma hiyo ambayo amemshirikisha Criss Brown aliyoipa jina la African bad girl kwenye Albam yake...