MPANGO WA UUZWAJI WA AC MILAN WASOGEZWA MBELE

MPANGO WA UUZWAJI WA AC MILAN WASOGEZWA MBELE

Like
257
0
Wednesday, 07 December 2016
Slider

Mpango wa uuzwaji wa klabu ya Ac Milan wasogezawa mbele hadi mwakani mwezi wa tatu.
Klabu hiyo ya nchini Italy inayomilikiwa na aliyewahi kuwa waziri mkuu wa nchi hiyo Bwana Silvio Berlusconi ilitajwa kuuzwa kwa wawekezaji wa China mwezi huu wa kumi na mbili lakini mpango huo umesogezwa mbele hadi mwakani mwezi wa tatu,

Comments are closed.