DIAMOND ATAJWA KUWANIA TUZO ZA The Headies NIGERIA

Written by

in

,

Headies-Print-602x280

Tuzo hizo ambazo hapo zamani zilijulikana kama Hip-Hop World ambapo kwa mara ya kwanza zilifanyika mwaka 2006 huko Lagos. mwaka huu zinatarajiwa kufanyika tarehe 25th October 2014  Lagos ikiwa ni msimu wake wa 9

Diamond ametajwa kuwania kipengere cha  BEST AFRICAN ARTIST 

kipengere hicho kinahusisha wasanii kutoka mataifa ya Afrika wanaofanya vizuri Nigeria

Diamond atachuana na

MAFIKIZOLO
SARKODIE
R2BEES