Mambosasa asema wanawahoji 26 kutekwa kwa Mo Dewji

Written by

in

 

 

 

Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa.

Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, inaendelea na uchunguzi wa alipo mfanyabiashara maarufu Mohammed Dewji ‘Mo’ na hadi sasa linawashikiliwa watu 26

 

 

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *