RADAMEL FALCAO HUENDA HATOICHEZEA MANCHESTER UNITED MSIMU UJAO

Written by

in

,

 

Kiungo mshambuliaji kutoka Colombia Radamel Falcao anaepokea kiasi cha paundi 265,000 kwa wiki kuna uwezekano wa kutochezea tena katika klabu ya Man Utd

Hii imekuja mara baada ya wakala wa mchezaji huyo kusema Falcao ataichezea moja kati ya klabu kubwa duniani katika msimu ujao

Hayo yamesemwa na Jorge Mendes. Ambae ndie wakala wa