UZINDUZI WA TIDAL KAMPUNI YA JAY Z INAYOTARAJIWA KULETA MAPINDUZI

UZINDUZI WA TIDAL KAMPUNI YA JAY Z INAYOTARAJIWA KULETA MAPINDUZI

Like
507
0
Tuesday, 31 March 2015
Entertanment

Mastar wakubwa duniani katika tasnia ya muziki wameunganisha nguvu pamoja na katika uzinduzi wa kampuni ya muziki ya Tidal.

Katika uzinduzi huo wa kampuni ya kwanza kubwa ya muziki duniani kumilikiwa na msanii Jay z uliofanyika siku ya jumatatu katika jiji la New York ulishuhudiwa na mastar ambao pia wametajwa kuwa sehemu ya wamiliki wa kampuni hiyo

Miongoni mwa mastar hao ni Rihanna, Madonna, Beyonce, Usher, Daft Punk, Arcade Fire, Jack White na Kanye West.

Akizungumzia matarajio yake juu ya kampuni hiyo Alicia Keys amesema anamatumaini makubwa ya mapinduzi katika historia ya muziki kwakuthibitisha uwezo wa kampuni hiyo

tidal22 tidal2 tidaaa

2725E4C900000578-3018960-image-m-57_1427765928899 2725FB4400000578-3018960-image-m-56_1427765910233 27270BF000000578-3018960-image-m-39_1427765447407 27277ED100000578-3018960-image-m-53_1427781312516

 

Comments are closed.