254 KENYA: POST YA HUDDAH UTATA MTUPU

254 KENYA: POST YA HUDDAH UTATA MTUPU

Like
465
0
Thursday, 19 November 2015
Entertanment

254: Wakati Sauti Sol wanajiandaa kushusha albam yao “LIVE AND DIE IN AFRICA”

Sauti-Sols-Album-Cover

Followers wa  mrembo Huddah wamefunguka vikali  kwenye ukurasa wa instagram wa mrembo huyu baada ya kuweka post ya kumtakia heri ya kuzaliwa rafiki yake anaetajwa ku jihusisha na mapenzi ya jinsia moja, comment hizo zimemtaka Huddah kufuta post hiyo lakini pia mlengwa wa hiyo post ametakiwa kufuta akaunti yake ya Instagram na kubadilika.

Post hiyo ya Huddah inaonyesha dhahiri kuwa yeye binafsi anasapoti kitu kinachofanywa na rafiki yake huyo na kumpa moyo wa kuendelea na tabia yake kwa kutojali jamii inamchukuliaje kwani ni kitu pekee kinachompa furaha. Lakini pia amemtaka kutunza akaunti yake kwani ana uhuru wa kuishi atakavyo

 

THE MOST PAINFUL THING IN THE WORLD IS TO SEE PEOPLE PRETEND TO BE SO RIGHTEOUS THAT THEY JUDGE AND ATTACK PEOPLE COZ WHO THEY’VE DECIDED TO BE IN THIS WORLD AND LEADING THEM INTO DEPRESSION AND SELF-DESTRUCTION.

“Who are you to judge ? Ask yourself ….Did you give birth to that person ? Did you assist his/her Mother in carrying them for 9 months in their womb? Is he / she your brother, sister, Son or daughter? ,Did they ever knock on your door for food or shelter ? Are they disturbing your peace ? Is your salary being cut off coz of them? NO! So Once you ask yourself these questions, your righteous self won’t stand any ground to HATE on people you Have never met and will never meet! Do you know most people commit suicide coz of cyber bulling ? It’s a shame that most of you that follow me are none but bullies.”

“RESPECT others and respect their decisions. Whether gay, transgender, transsexual, cross-dresser, androgyne, androgen, two-spirited, gender-fliud, lesbian and all other variety of gender identifications, as well as those who do not feel that they have a gender…..everyone in this world is HUMAN , you people judging others are not more HUMAN than them . Don’t Hate people coz they sin differently , everyone in this world is fighting a battle you know nothing about ,BE NICE ! I just wish most of you would stop inflicting your insecurities on others and let people BE who they want to be!!!!!!!!! Let GOD do his job , you are not his assistant! You are not GOD on earth no matter how many bible verses you quote!……………… #HBD@_jadiah , bring back your page Princess! And never let anyone make you feel lesser of a person or make you feel inferior without your consent!”

 

Comments are closed.