
Mapema leo hii rapa Kanye West na Mkewe Kim Kardashian walipomtembelea Ikulu ya Uganda katika jiji la Entebbe ambapo walikutana na Rais Yoweri Museveni na kufanya mazungumzo ya masuala kadhaa kuhusiana na sanaa pamoja na utalii
Kanye West ,Kim Kardashian ndani ya ikulu ya uganda

Leave a Reply