zawadi nono mwenye taarifa kuhusu dewji

Written by

in

Familia ya mfanyabiashara wa Tanzania  Mohammed Dewji imetangaza zawadi nono ya shilingi billioni moja kwa yeyote atakaetoa taarifa muhimu zitakazofanikisha kupatikana kwa mfanyabiashara huyo alietekwa.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *