Tanzia; Mtayarishaji maarufu wa Muziki afariki dunia

Mtayarishaji wa muziki Pancho Latino amefariki dunia.

Taarifa za awali zinaeleza kuwa Pancho amefikwa  na umauti kwa ajali ya maji katika kisiwa cha Mbudya jijini  Dar es Salaam leo Octoba 9/2018.

Tunatoa pole kwa ndugu na jamaa na marafiki pamoja na wadau wa muziki kufuatia msiba huu.

Mungu ampuzishe ndugu yetu mahali pema peponi.(amen)

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *