ODEGAARD ATUA BERNABEU

ODEGAARD ATUA BERNABEU

Like
230
0
Thursday, 22 January 2015
Slider

 

Real Madrid imefikia makubaliano ya kumsajili mshambuliaji kutoka klabu ya Stromsgodset ya Norway Martin Odegaard mwenye umri wa miaka 16.

Real Madrid hawakuweka wazi makubaliano yao na mshambuliaji huyo lakini vyombo vya habari vya Hispania vimeripoti kuwa wamelipia si chini ya euro milioni tatu kumpata mchezaji huyo

Anatarajiwa kuungana na klabu ya Real Madrid timu B ambayo inaongozwa na mwalimu Zinedine Zidane

Comments are closed.