Wananchi Wasema Sauti Zao Hazisikiki

Wananchi Wasema Sauti Zao Hazisikiki

Like
242
0
Wednesday, 03 September 2014
Local News

Twaweza

Asilimia 70 ya wananchi sehemu mbalimbali nchini wameripoti kuwa sauti zao hazisikiki katika maamuzi ya serikali huku asilimia 71 wakiamini njia pekee ya kuleta ushawishi kwa serikali ni kupiga kula.
Hayo yamebainishwajana jijini Dar es salaam kufuatia utafiti uliofanywa na Taasisi ya TWAWEZA uliohusisha mazungumzo ya wananchi juu ya hali zao na kupitia simu za mkononi uliopewa jina la Sauti za Wananchi.

 

Comments are closed.