ITAZAME VIDEO MPYA YA RICH MAVOKO BAADA YA PACHA WANGU

Written by

in

, ,

Msanii wa muziki wa kizazi kipya Rich mavoko jana kupitia mtandao wa instagram alipost picha zinazoonyesha uandaaji wa video yake mpya ikiwa ni siku chache baada ya kutoka South Afrika ambapo alifanya video ya wimbo wake wa Pacha wangu chini ya director Adam Juma

mara kadhaa rich amekuwa akiulizwa kuhusu gharama za video hiyo inayoonekana kugharimu kiasi kikubwa cha pesa hata hivyo Rich mavoko hakuwahi kuweka wazi kwa kusema Adam Juma ndie anaefahamu gharama zake

itazame teaser hapa

Screenshot_2014-10-09-16-27-51-1