Big Fendi, NICK MINAJ BADO YUPO CHINI YA DIRTY MONEY

Big Fendi, NICK MINAJ BADO YUPO CHINI YA DIRTY MONEY

Like
456
0
Tuesday, 30 September 2014
Entertanment

Big Fendi_09-29-2014

Aliekuwa meneja wa Msanii Nick Minaji, Big Fendi ameelezea kiundani jinsi alivyokutana na msanii huyo kati ya mwaka 2006 au2007 kupitia mtandao wa MySpace ambapo alimchukua na kumbadilisha jina kutoka Nicki Maraj kwenda Nicki Minaj kitendo kilichomsababishia Nick Minaj matatizo na familia yake lakini baadae Big Fendi alimuelewesha ikiwemo pia kumtumia Jadakiss na Busta Rhymes

Fendi amedai kumiliki sehem ya jina na vyanzo vya mapato vya Nick ikiwemo NickiMinaj.com.

 

Fendi Baadae alipata mkataba wa kumuuza nick Minaj kwenda Young money ambapo aliukataa kwa sababu za kimaslahi lakini pia alimkutanisha na Debra Antney kutoka Waka Flocka Flame ambae amedai kuwa chanzo cha kumbadilisha Nick kwa Kumshawishi aachane na Dirty money Company

Big Fendi aliyasema hayo wakati anahojiwa kupitia Power 105.1’s The Breakfast Club

http://youtu.be/MFsJmCFNslE

Comments are closed.