CHINA YASHINDA TUZO YA KUTAMBUA MVINYO DUNIANI

CHINA YASHINDA TUZO YA KUTAMBUA MVINYO DUNIANI

Like
308
0
Monday, 10 October 2016
Slider

Kundi moja la wataalam nchini China limeshinda tuzo la shindano la kuonja mvinyo nchini Ufaransa.

Watalaam hao walitambua mivinyo waliopewa huku wakiwa wamefunikwa uso,wakibainisha asili, aina ya zabibu zilizotumika na mwaka mivinyo hiyo iliotengezwa.

Waandalizi wa shindano hilo waliwataja wataalam hao wa China kuwa mabingwa katika ulimwengu wa mvinyo.

Waliyashinda mataifa mengine 20,ikiwemo washindi wa awali Ubelgiji na Uhispania.

Huku mapato yakiongezeka nchini China,taifa hilo linaongoza katika utengezaji na utumiaji wa mvinyo duniani.

Comments are closed.