AFRIKA MAGHARIBI WAAZIMIA KUMALIZA EBOLA

AFRIKA MAGHARIBI WAAZIMIA KUMALIZA EBOLA

Like
267
0
Tuesday, 06 January 2015
Global News

WAKATI UGONJWA wa maradhi ya Ebola ukiendelea kuwa tishio katika baadhi ya nchi Afrika Magharibi, Wataalam wa Afya nao wameendelea kuweka jitihada zaidi kuhakikisha kuwa wanaumaliza ugonjwa huo.

Katika jitihada zao hivi sasa wamebuni mpango wa mawasiliano ya simu ya mkononi wenye mpango maalum inayotoa taarifa kutoka maeneo yaliyokumbwa na Ebola.

Comments are closed.