AUDIO: MASWALI NA MAJIBU KWA BAKARI IDDI KWENYE MAKAO MAKUU YA MICHEZO

AUDIO: MASWALI NA MAJIBU KWA BAKARI IDDI KWENYE MAKAO MAKUU YA MICHEZO

Like
499
0
Friday, 13 February 2015
Slider

BAKARI IDD-MCHEZAJI WA ZAMANI WA BDF XI

BAKARI IDD kaanza kwa kujitambulisha pamoja na kutueleza alivyofika katika klabu ya bdf xi.

BAKARI je unakumbuka ni mchezo gani ulikuwa mgumu katika kipindi chote ulichokuwa na klabu hiyo na ni timu gani mlicheza nayo.

kunamchezaji yoyote mliekuwa nae kipindi hicho na sasa nikiongozi wa BDF XI.

Je hakuna kiongozi yoyote wa BDF XI ambaye umewasiliana nae katika kuelekea mchezo huo na mliongea nini.

Kunautofauti gani wa hali ya hewa ya Gaborone na dar es salaam

Comments are closed.