BAHATI NASIBU YAIPELEKA GUINEA ROBO FAINALI

BAHATI NASIBU YAIPELEKA GUINEA ROBO FAINALI

Like
330
0
Friday, 30 January 2015
Slider

Kamati ya utendaji ya Shirikisho la Kandanbda Africa CAF imetangaza kwamba Guinea ndio imeshinda katika bahati nasibu ya kusonga mbele dhidi ya Mali.

Uwamuzi ulichukuliwa Alhamisi saa kumi saa za Africa Magharibi mjini Malabo, na hivyo sasa Guinea itapambana na Ghana na Algeria itapambana na Ivory Coast.

AAAAA

 

Comments are closed.